galon_
JF-Expert Member
- Apr 20, 2020
- 238
- 292
Nasikia ukisimamia kucha hawezi kukuacha sijui ni kweli yani tafrani..Tufanye nini ili wanawake zetu watupende na watutumikie kwa moyo mkunjufu bila kawaza hata chembe kuhusu kutuacha?
Nawasilisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia ukisimamia kucha hawezi kukuacha sijui ni kweli yani tafrani..Tufanye nini ili wanawake zetu watupende na watutumikie kwa moyo mkunjufu bila kawaza hata chembe kuhusu kutuacha?
Nawasilisha.
Na wewe ukajaa kwenye mfumoKuna mmoja alikuwa ananiambia kuna kajamaa kafupi keusi kananisumbua sikapendi kweli yani na block alimpiga huyo mchizi. Ila cha ajabu sasahivi ndo kaolewa nae huyo msela, hawa viumbe nimeshindwa kuwaelewa kabisa kmmk
Kwa akili kama hizi.. unaonekana una shida, mtoto katuliza moyo asahivi kifuani kwa mwamba wakeNjoo nikuoshe tundu uone kama utatamani mwanaume mwingine uwe me AU ke nakusuugua rungu afu afananishe sawa?
😆😆Hata nikisema ndio kumbuka nipo kwenye keyboard natypeEbwana naomba kuuliza ..wee ndio yule makusu aliyekuwa anachezea vita club ya drc?
😅😅 Kwa akili za huyo jamaa lazima asitafutwe.. mtoto kaishapata tuluzo la moyo na gegedoJamaa mbishi huyo sasa anaanza nishambulia mie kwa kukubaliana na wewe.
Mwanamke uliyemgegeda vizuri lazima akuletee tena mbususu
With women nothing is certain, anything can happen at any timeKuna mmoja alikuwa ananiambia kuna kajamaa kafupi keusi kananisumbua sikapendi kweli yani na block alimpiga huyo mchizi. Ila cha ajabu sasahivi ndo kaolewa nae huyo msela, hawa viumbe nimeshindwa kuwaelewa kabisa kmmk
Ukajidanganya kumtoa bikra ndio atakuwa wako?Ukweli mchungu
Bro kuna demu nimemtoa bikra Mimi Ila tangu tuachane hajawai kanitafuta Hata Kwa Bahati mbaya najiuliza ni kubuli cha namna Gani anacho yule mwanamke..
Ah nilidha i ndio weye kuna kijana hapa anapiga boli hatari namtafutia connection. Yaani huyu chama plua aziz ki na pacome hawamfikii😆😆Hata nikisema ndio kumbuka nipo kwenye keyboard natype
Wee wakishua wa wapi mwanawane? Masaki au mikochenu?😅😅 Kwa akili za huyo jamaa lazima asitafutwe.. mtoto kaishapata tuluzo la moyo na gegedo
We jamaa ni smart sana,big upInawezekana ukawa unampenda, unamuamini au una malengo nae kwaiyo ukakataa kukubaliana na ninachokisema hapa, lakini huu ni ukweli mchungu ambao kwa kuwahi au kuchelewa kuelewa lazima ukubaliane nao.
Ukweli ni kwamba uyo mwanamke ulienae ana list ya replacements wako. Wanaume hawa kawaweka kwenye friendzone na itakapotokea selfish demands zake kutoka kwako hazijatimia basi anaswitch upande mwingine.
Kuna jamaa anasubiri uachwe ili yeye achukue nafasi, kuna jamaa wapo uko dm zake kwenye mitandao ya kijamii, kuna jamaa uko ofisini, chuoni, mtaani kwake n.k wanampigia timing.
Utakua mjinga ukifikiri uyo mwanamke wako hawazingatii hawa wanaomtongoza, utakua mjinga zaidi ukimuamini kwa sababu anakuletea kesi za hawa wanaomtongoza. Ukweli ni kwamba atakuambia kuhusu ambao hana interest nao kabisa lakini wale ambao ana interest nao hatokuambia, utakuja kugundua tu tayari ushakua replaced.
Uwezekano wa kukuacha kwa ajiri ya mwanaume mwingine mwenye mafanikio zaidi yako ni mkubwa sana. Uwezekano wa mwanamke kuwa na mafanikio kukuzidi wewe ni mkubwa zaidi. Kumbuka yeye ana thamani ambayo ni mwili wake ni suala la kukutana na mwekezaji kwenye iyo thamani yake lakini wewe hauna thamani unatakiwa kuitengeneza thamani yako.
She may dating you while you are not stable financially but you will be a fool to think she is doing you a favor. The truth is, at that point you are her better option, when the best option show up along the way she will dump you for him without considering your sacrifices.
With women nothing is certain, anything can happen at any time.
Kwanini nakuambia haya?
Sikuambii ili uachane na mwanamke wako, ili umtreat vibaya au umuogope. Nakuambia haya ili na wewe pia uwe na mpango mbadala.
Sasa nisome kwa makini. Ninaposema uwe na mpango mbadala simaanishi kwamba na wewe uwe na circle ya wanawake. Infact iyo itakurudisha nyuma kimaendeleo kwa sababu uhusiano wowote na mwanamke ni liability, kwa maana iyo ukitengeneza circle na wanawake maana yake itakugharimu muda, umakini na rasilimali/hela.
Mpango mbadala ninaoumaanisha ni mafanikio yako. Work hard to be the best version of yourself, be financially stable and build your value. That's is a man's ultimate plan.
Unatakiwa kujua, mwanamke tayari anayo thamani kwenye mwili wake ya kumpa mpango mbadala, lakini mwanaume thamani iyo unatakiwa kuitengeneza kwenye akaunti yako ya benki.
Na hii ndio sababu wewe kama kijana unatakiwa kuacha mara moja kuwekeza kwa mwanamke ili upate sifa za kijinga. Your focus should be investing in yourself, your mind and your financial life. Build yourself and not a woman or relationship.
Don't put yourself under pressure to impress a woman. Women are cheap, are everywhere and almost all of them have just one same thing to offer(their private part). It just a matter of your value, build your value and see how women are senseless with their delusional entitlement.
Ukifeli kimaisha utampoteza uyo mwanamke, utapoteza furaha, amani, uhuru na hautakua na mpango mbadala.
A woman's revenge is sleeping with as many men as possible.Very very true...ndio maana vijana wanapaswa kuambjwa kuwa lazima kidume uwe na mademu watatu at the same time....
Moyo wangu mgumu sana kumuamini mwanamke kwa sasa sijui kwaniniInawezekana ukawa unampenda, unamuamini au una malengo nae kwaiyo ukakataa kukubaliana na ninachokisema hapa, lakini huu ni ukweli mchungu ambao kwa kuwahi au kuchelewa kuelewa lazima ukubaliane nao.
Ukweli ni kwamba uyo mwanamke ulienae ana list ya replacements wako. Wanaume hawa kawaweka kwenye friendzone na itakapotokea selfish demands zake kutoka kwako hazijatimia basi anaswitch upande mwingine.
Kuna jamaa anasubiri uachwe ili yeye achukue nafasi, kuna jamaa wapo uko dm zake kwenye mitandao ya kijamii, kuna jamaa uko ofisini, chuoni, mtaani kwake n.k wanampigia timing.
Utakua mjinga ukifikiri uyo mwanamke wako hawazingatii hawa wanaomtongoza, utakua mjinga zaidi ukimuamini kwa sababu anakuletea kesi za hawa wanaomtongoza. Ukweli ni kwamba atakuambia kuhusu ambao hana interest nao kabisa lakini wale ambao ana interest nao hatokuambia, utakuja kugundua tu tayari ushakua replaced.
Uwezekano wa kukuacha kwa ajiri ya mwanaume mwingine mwenye mafanikio zaidi yako ni mkubwa sana. Uwezekano wa mwanamke kuwa na mafanikio kukuzidi wewe ni mkubwa zaidi. Kumbuka yeye ana thamani ambayo ni mwili wake ni suala la kukutana na mwekezaji kwenye iyo thamani yake lakini wewe hauna thamani unatakiwa kuitengeneza thamani yako.
She may dating you while you are not stable financially but you will be a fool to think she is doing you a favor. The truth is, at that point you are her better option, when the best option show up along the way she will dump you for him without considering your sacrifices.
With women nothing is certain, anything can happen at any time.
Kwanini nakuambia haya?
Sikuambii ili uachane na mwanamke wako, ili umtreat vibaya au umuogope. Nakuambia haya ili na wewe pia uwe na mpango mbadala.
Sasa nisome kwa makini. Ninaposema uwe na mpango mbadala simaanishi kwamba na wewe uwe na circle ya wanawake. Infact iyo itakurudisha nyuma kimaendeleo kwa sababu uhusiano wowote na mwanamke ni liability, kwa maana iyo ukitengeneza circle na wanawake maana yake itakugharimu muda, umakini na rasilimali/hela.
Mpango mbadala ninaoumaanisha ni mafanikio yako. Work hard to be the best version of yourself, be financially stable and build your value. That's is a man's ultimate plan.
Unatakiwa kujua, mwanamke tayari anayo thamani kwenye mwili wake ya kumpa mpango mbadala, lakini mwanaume thamani iyo unatakiwa kuitengeneza kwenye akaunti yako ya benki.
Na hii ndio sababu wewe kama kijana unatakiwa kuacha mara moja kuwekeza kwa mwanamke ili upate sifa za kijinga. Your focus should be investing in yourself, your mind and your financial life. Build yourself and not a woman or relationship.
Don't put yourself under pressure to impress a woman. Women are cheap, are everywhere and almost all of them have just one same thing to offer(their private part). It just a matter of your value, build your value and see how women are senseless with their delusional entitlement.
Ukifeli kimaisha utampoteza uyo mwanamke, utapoteza furaha, amani, uhuru na hautakua na mpango mbadala.
Hapana nilijua nikikutoa marinda ndio utakuwa wangu njoo BasiUkajidanganya kumtoa bikra ndio atakuwa wako?
Hapana asee mkuu,ajaribu kutafuta mawakala wl wa mpira bongo wanaweza kumpush kwa kiwango fulaniAh nilidha i ndio weye kuna kijana hapa anapiga boli hatari namtafutia connection. Yaani huyu chama plua aziz ki na pacome hawamfikii
😄 Shehe unanichekesha sana bt ndo uhalisia,ndo mana vijana siku hzi wanabugia mavidonge kisa tu aende akashindane na alikotoka.Sasa wee mbususu imekushinda utaweza kweli kisoda cha mzabzab 🤣🤣🤣🤣
Jamaa bwana ebu kuwa seeious nawe. Kwani kutokujua kutomber nacho ni kitu cha aibu mzeya? Sii ni sawa tuu na kutokujua kupiga boli ka aziz ki...sio kila mtu duniani atakuwa mtombajiiii mzuri the sonner u make peace with that the better u will enjoy life.
Mie mwenyewe hapa najijua na hiki kibamia changu sijui kutomber...wanawachafua tuh wanawake sema ndio hivyo wanaoenda pesa zangu🤣🤣🤣🤣
Kwanza inabidi uwe na muhindi, mwarabu, mzungu, mswahili na Africa magaharibi.. test tofauti na haiba tofauti.. ukiachwa Wala huwazi Wala hufikirii kutafutwa ikitokea bahati mbayaSasa suala la ugay na mie wapi na wapi mzeya. Wee tuzisasambue mbusus hizi sawa mwanawane.
Tuchukue point hapa hawa wanawake usiwe nae mmoja kuwa nao ata kumi
Hawaeleweki mkuu..Tufanye nini ili wanawake zetu watupende na watutumikie kwa moyo mkunjufu bila kawaza hata chembe kuhusu kutuacha?
Nawasilisha.
Kwahyo unangoja akutafute?Ukweli mchungu
Bro kuna demu nimemtoa bikra Mimi Ila tangu tuachane hajawai kanitafuta Hata Kwa Bahati mbaya najiuliza ni kubuli cha namna Gani anacho yule mwanamke..
Mchumba una kiingereza kilichonyooka balaaI was all intrigued and enjoying the content until u started using kiswahili...it debases ur valid and intelligent arguments. Please kindly rewrite in english so that i can fully assimilate wat u r saying