Mwanamke wako ana mpango mbadala

We jamaa ni smart sana,big up
 
Very very true...ndio maana vijana wanapaswa kuambjwa kuwa lazima kidume uwe na mademu watatu at the same time....
A woman's revenge is sleeping with as many men as possible.

Your revenge should be gathering knowledge, opportunities and building wealth.

That's the path of man.

Kuwa na mademu wengi ni upumbavu.
 
Moyo wangu mgumu sana kumuamini mwanamke kwa sasa sijui kwanini
 
😄 Shehe unanichekesha sana bt ndo uhalisia,ndo mana vijana siku hzi wanabugia mavidonge kisa tu aende akashindane na alikotoka.
 
Sasa suala la ugay na mie wapi na wapi mzeya. Wee tuzisasambue mbusus hizi sawa mwanawane.
Tuchukue point hapa hawa wanawake usiwe nae mmoja kuwa nao ata kumi
Kwanza inabidi uwe na muhindi, mwarabu, mzungu, mswahili na Africa magaharibi.. test tofauti na haiba tofauti.. ukiachwa Wala huwazi Wala hufikirii kutafutwa ikitokea bahati mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…