------Sasa nisome kwa makini. Ninaposema uwe na mpango mbadala simaanishi kwamba na wewe uwe na circle ya wanawake. Infact iyo itakurudisha nyuma kimaendeleo kwa sababu uhusiano wowote na mwanamke ni liability, kwa maana iyo ukitengeneza circle na wanawake maana yake itakugharimu muda, umakini na rasilimali/hela.
Muda ni katili sana kwa wanawake. Wana takribani miaka 10 tu ya kutamba kwenye dating pool.Fact,
Wanawake wana options nyingi sana, ukiona unamringia na bado anakung'ang'ania ujue bado anakupenda au kuna vitu anapata kutoka kwako.
Akishakuwa na uhakika kuvipata kwingine you're dead my friend.
Japo kuna age nao wakifika ile demand inashuka sana, wanasumbuka sana kuanza mahusiano mapya.
Ukweli mchungu
Bro kuna demu nimemtoa bikra Mimi Ila tangu tuachane hajawai kanitafuta Hata Kwa Bahati mbaya najiuliza ni kubuli cha namna Gani anacho yule mwanamke..
Wape hela tu mkuu 😅😅Wanawake wa jf wanaogopa ngoma...hawafaki niwaunganishe kwenye grid ya taifa
Pamoja sanaBro unavunja sana
For sure psychology hasa about women psychology ninajifunza sana kupitia article zako humu
Very sadly truthAnaoshwa vizuri kuliko ulivyokuwa una muosha, Sasa akutafute wa nini
Tupo kwenye kizazi ambacho vijana wa kiume wamezidiwa akili na wanawake.All in all, cha msingi ni kutokuwa serious sana na hawa viumbe na kujua lolote linaweza kutokea.
Shida kizazi hiki wanaume nao wamekuwa dhaifu sana na kupenda kulialia
Solution nini tatizo ni malezi mabovuTupo kwenye kizazi ambacho vijana wa kiume wamezidiwa akili na wanawake.
Kilichobaki ni kumsanua mapema mtoto wa kiume.Solution nini tatizo ni malezi mabovu
Walikaa sana jikoni na wamama, walikosa ile basic manhood principlesTupo kwenye kizazi ambacho vijana wa kiume wamezidiwa akili na wanawake.