Mwanamke wako ana mpango mbadala

Umewaza kisomi sana bro.
Mwenye kufuata ushauri wako, atajipandisha thamani na heshima yake.
 
I was all intrigued and enjoying the content until u started using kiswahili...it debases ur valid and intelligent arguments. Please kindly rewrite in english so that i can fully assimilate wat u r saying
We choko mbona kiingereza chako chenyewe ni cha kiswahili kabisa hikii
 
Na backbenchers ndio wanaong'oa watoto wakali mbeleni 🤣🤣🤣
JoniKisomo na domozege wengi huwa dawati mbele 😂😂😂😂
Ah mie nilikuwa bacbencher na domo zege. Umenikumbusha nilikuwa nampenda dada mmoja anaitwa sophia....form 2 hiyo mzeya kila nikitaka kumtongoza naishia kwenye mambo mrembo🤣🤣🤣🤣
 
Ukweli mchungu
Bro kuna demu nimemtoa bikra Mimi Ila tangu tuachane hajawai kanitafuta Hata Kwa Bahati mbaya najiuliza ni kubuli cha namna Gani anacho yule mwanamke..
Una uhakika bikra halisi? 😹

Sasa kisa umemtoa bikra hata km hueleweki akuzingatie?? Pole sana kiongozi
 
Mzabzab wewe kuna fyuzi imekata kichwani ujue 😹😹😹

Mtu km ana hasira anaweza kukupiga, ulinichekesha kuna uzi mmoja ulisema uliwahi kuliwa tigo 🤣🤣🤣😹😹
Tena unamuita umpe khaaaa.!!
 
Mwanamke anajua who is next kabla hamjaachana, ataanza mdogo mdogo dharau, kukunyima mbususu mwisho wa siku anakuacha mazima

Mwanamke anaanza kukuacha akilini kabla ya kukuacha physically. Kidume kaa kitaalamu ukianza kuona red flags ujue anachezea dushe la jamaa mwingine piga chini malaya huyo ASAP

La muhimu zaidi yote usimpe kipaumbele mwanamke. Ni ufara sana kumpa moyo wako mwanamke.

Ndio maana wengi hujiuliza kwa nini wanawake huwa wana-move on haraka baada ya break up

Jibu ni women know who's next in line after a breakup

Learn or Perish

 
Mzabzab wewe kuna fyuzi imekata kichwani ujue 😹😹😹

Mtu km ana hasira anaweza kukupiga, ulinichekesha kuna uzi mmoja ulisema uliwahi kuliwa tigo 🤣🤣🤣😹😹
Tena unamuita umpe khaaaa.!!
Wapi hapo nilisema niliwahi kuliwa tigo??!!! Alooo mbona wee wanisingizia
 
Wapi hapo nilisema niliwahi kuliwa tigo??!!! Alooo mbona wee wanisingizia
Subiri kuna siku nitakutag ila najua haukuwa serious ulikuwa unatania.!

Ulikuwa unajibu uchale chale km ulivyomjibu huyo member huko juu.
 
Subiri kuna siku nitakutag ila najua haukuwa serious ulikuwa unatania.!

Ulikuwa unajibu uchale chale km ulivyomjibu huyo member huko juu.
Eeh sass ssi unaona mtu analeta ujuaji basi unamjibu vile anataka maama mie hapa jf ndio sehemu yangu yakutoa stress.

Oya vipi lakini ulishaongea na shangazi Joannah kuhusu kunikubalia ombi langu
 
Eeh sass ssi unaona mtu analeta ujuaji basi unamjibu vile anataka maama mie hapa jf ndio sehemu yangu yakutoa stress.

Oya vipi lakini ulishaongea na shangazi Joannah kuhusu kunikubalia ombi langu
Ndo nafatilia kiongozi soon jibu utapata 😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…