Mwanamke wako ana mpango mbadala

Mwanamke wako ana mpango mbadala

"Utakua mjinga ukifikiri uyo mwanamke wako hawazingatii hawa wanaomtongoza, utakua mjinga zaidi ukimuamini kwa sababu anakuletea kesi za hawa wanaomtongoza. Ukweli ni kwamba atakuambia kuhusu ambao hana interest nao kabisa lakini wale ambao ana interest nao hatokuambia, utakuja kugundua tu tayari ushakua replaced" point ya msingi kwa vitoto vya 2000's
Anaweza akakuambia kwa lengo la kuku-preempt.
 
Ah mie nilikuwa bacbencher na domo zege. Umenikumbusha nilikuwa nampenda dada mmoja anaitwa sophia....form 2 hiyo mzeya kila nikitaka kumtongoza naishia kwenye mambo mrembo🤣🤣🤣🤣
😀😀😀 mimi primary nilikua backbencher sema sio domo zege halafu nilikua kichwa wa darasa sema tu nilikua mdogo kuchakata mbususu. Lakini olevel nikafaulu kwenda Azania pale boyz tupu ila mbususu za jangwani, zanaki na shaban robert nilizichakata sana
 
Inawezekana ukawa unampenda, unamuamini au una malengo nae kwaiyo ukakataa kukubaliana na ninachokisema hapa, lakini huu ni ukweli mchungu ambao kwa kuwahi au kuchelewa kuelewa lazima ukubaliane nao.

Ukweli ni kwamba uyo mwanamke ulienae ana list ya replacements wako. Wanaume hawa kawaweka kwenye friendzone na itakapotokea selfish demands zake kutoka kwako hazijatimia basi anaswitch upande mwingine.

Kuna jamaa anasubiri uachwe ili yeye achukue nafasi, kuna jamaa wapo uko dm zake kwenye mitandao ya kijamii, kuna jamaa uko ofisini, chuoni, mtaani kwake n.k wanampigia timing.

Utakua mjinga ukifikiri uyo mwanamke wako hawazingatii hawa wanaomtongoza, utakua mjinga zaidi ukimuamini kwa sababu anakuletea kesi za hawa wanaomtongoza. Ukweli ni kwamba atakuambia kuhusu ambao hana interest nao kabisa lakini wale ambao ana interest nao hatokuambia, utakuja kugundua tu tayari ushakua replaced.

Uwezekano wa kukuacha kwa ajiri ya mwanaume mwingine mwenye mafanikio zaidi yako ni mkubwa sana. Uwezekano wa mwanamke kuwa na mafanikio kukuzidi wewe ni mkubwa zaidi. Kumbuka yeye ana thamani ambayo ni mwili wake ni suala la kukutana na mwekezaji kwenye iyo thamani yake lakini wewe hauna thamani unatakiwa kuitengeneza thamani yako.

She may dating you while you are not stable financially but you will be a fool to think she is doing you a favor. The truth is, at that point you are her better option, when the best option show up along the way she will dump you for him without considering your sacrifices.

With women nothing is certain, anything can happen at any time.

Kwanini nakuambia haya?

Sikuambii ili uachane na mwanamke wako, ili umtreat vibaya au umuogope. Nakuambia haya ili na wewe pia uwe na mpango mbadala.

Sasa nisome kwa makini. Ninaposema uwe na mpango mbadala simaanishi kwamba na wewe uwe na circle ya wanawake. Infact iyo itakurudisha nyuma kimaendeleo kwa sababu uhusiano wowote na mwanamke ni liability, kwa maana iyo ukitengeneza circle na wanawake maana yake itakugharimu muda, umakini na rasilimali/hela.

Mpango mbadala ninaoumaanisha ni mafanikio yako. Work hard to be the best version of yourself, be financially stable and build your value. That's is a man's ultimate plan.

Unatakiwa kujua, mwanamke tayari anayo thamani kwenye mwili wake ya kumpa mpango mbadala, lakini mwanaume thamani iyo unatakiwa kuitengeneza kwenye akaunti yako ya benki.

Na hii ndio sababu wewe kama kijana unatakiwa kuacha mara moja kuwekeza kwa mwanamke ili upate sifa za kijinga. Your focus should be investing in yourself, your mind and your financial life. Build yourself and not a woman or relationship.

Don't put yourself under pressure to impress a woman. Women are cheap, are everywhere and almost all of them have just one same thing to offer(their private part). It just a matter of your value, build your value and see how women are senseless with their delusional entitlement.

Ukifeli kimaisha utampoteza uyo mwanamke, utapoteza furaha, amani, uhuru na hautakua na mpango mbadala.
Ukiachwa zoea tafuta maisha yako na tafuta wa size yako. Kujiumiza kichwa ni mwanzo wa kufeli. Akisepa mpe baraka zote akibaki mpe nafasi. Kuishi kwa stress za kumwazia mwanamke kutakuja kutuchanganya na kutufelisha mishe zetu katika hii maisha. Ila kubwa umesena vijana tusiwekeze kwa mwanamke utakuja changanyikiwa
 
Ukweli mchungu
Bro kuna demu nimemtoa bikra Mimi Ila tangu tuachane hajawai kanitafuta Hata Kwa Bahati mbaya najiuliza ni kubuli cha namna Gani anacho yule mwanamke..
Kuna manzi niliwahi date nae, Kipindi tuko kwenye mahusiano alikuwa anawasiliana na ex wake mpaka ikafikia kipindi nikamkataza. Huyu manzi tuko tumeachana nae mimi hanitafuti hata kidogo. Hii sometimes inakata stimu maana unajua ex wake uenda alikuwa na thamani kwake zaidi yako kabisa.
 
Ukiachwa zoea tafuta maisha yako na tafuta wa size yako. Kujiumiza kichwa ni mwanzo wa kufeli. Akisepa mpe baraka zote akibaki mpe nafasi. Kuishi kwa stress za kumwazia mwanamke kutakuja kutuchanganya na kutufelisha mishe zetu katika hii maisha. Ila kubwa umesena vijana tusiwekeze kwa mwanamke utakuja changanyikiwa
Shida ni huu ufala wa vijana kuwekeza kwenye mahusiano. Unakuta kijana anamhudumia demu kuanzia kula, kulala, mavazi na bata sasa ukija wakati wa kuachana akikumbuka sacrifices na devotions zake ni ngumu sana kukubali safari ya mapenzi iishie hapo. Mwisho wake ndio yale ya msukuma na penny kule goba.
 
Shida ni huu ufala wa vijana kuwekeza kwenye mahusiano. Unakuta kijana anamhudumia demu kuanzia kula, kulala, mavazi na bata sasa ukija wakati wa kuachana akikumbuka sacrifices na devotions zake ni ngumu sana kukubali safari ya mapenzi iishie hapo. Mwisho wake ndio yale ya msukuma na penny kule goba.
Kabisa aisee kuwekeza kwa mwanamke daah yataka moyo wa chuma na wakusahau haraka.
 
Inawezekana ukawa unampenda, unamuamini au una malengo nae kwaiyo ukakataa kukubaliana na ninachokisema hapa, lakini huu ni ukweli mchungu ambao kwa kuwahi au kuchelewa kuelewa lazima ukubaliane nao.

Ukweli ni kwamba uyo mwanamke ulienae ana list ya replacements wako. Wanaume hawa kawaweka kwenye friendzone na itakapotokea selfish demands zake kutoka kwako hazijatimia basi anaswitch upande mwingine.

Kuna jamaa anasubiri uachwe ili yeye achukue nafasi, kuna jamaa wapo uko dm zake kwenye mitandao ya kijamii, kuna jamaa uko ofisini, chuoni, mtaani kwake n.k wanampigia timing.

Utakua mjinga ukifikiri uyo mwanamke wako hawazingatii hawa wanaomtongoza, utakua mjinga zaidi ukimuamini kwa sababu anakuletea kesi za hawa wanaomtongoza. Ukweli ni kwamba atakuambia kuhusu ambao hana interest nao kabisa lakini wale ambao ana interest nao hatokuambia, utakuja kugundua tu tayari ushakua replaced.

Uwezekano wa kukuacha kwa ajiri ya mwanaume mwingine mwenye mafanikio zaidi yako ni mkubwa sana. Uwezekano wa mwanamke kuwa na mafanikio kukuzidi wewe ni mkubwa zaidi. Kumbuka yeye ana thamani ambayo ni mwili wake ni suala la kukutana na mwekezaji kwenye iyo thamani yake lakini wewe hauna thamani unatakiwa kuitengeneza thamani yako.

She may dating you while you are not stable financially but you will be a fool to think she is doing you a favor. The truth is, at that point you are her better option, when the best option show up along the way she will dump you for him without considering your sacrifices.

With women nothing is certain, anything can happen at any time.

Kwanini nakuambia haya?

Sikuambii ili uachane na mwanamke wako, ili umtreat vibaya au umuogope. Nakuambia haya ili na wewe pia uwe na mpango mbadala.

Sasa nisome kwa makini. Ninaposema uwe na mpango mbadala simaanishi kwamba na wewe uwe na circle ya wanawake. Infact iyo itakurudisha nyuma kimaendeleo kwa sababu uhusiano wowote na mwanamke ni liability, kwa maana iyo ukitengeneza circle na wanawake maana yake itakugharimu muda, umakini na rasilimali/hela.

Mpango mbadala ninaoumaanisha ni mafanikio yako. Work hard to be the best version of yourself, be financially stable and build your value. That's is a man's ultimate plan.

Unatakiwa kujua, mwanamke tayari anayo thamani kwenye mwili wake ya kumpa mpango mbadala, lakini mwanaume thamani iyo unatakiwa kuitengeneza kwenye akaunti yako ya benki.

Na hii ndio sababu wewe kama kijana unatakiwa kuacha mara moja kuwekeza kwa mwanamke ili upate sifa za kijinga. Your focus should be investing in yourself, your mind and your financial life. Build yourself and not a woman or relationship.

Don't put yourself under pressure to impress a woman. Women are cheap, are everywhere and almost all of them have just one same thing to offer(their private part). It just a matter of your value, build your value and see how women are senseless with their delusional entitlement.

Ukifeli kimaisha utampoteza uyo mwanamke, utapoteza furaha, amani, uhuru na hautakua na mpango mbadala.
Kwa yaliyowahi kunikuta,ni umemaliza kila kitu mkuu!
 
Don't put yourself under pressure to impress a woman. Women are cheap, are everywhere and almost all of them have just one same thing to offer(their private part). It just a matter of your value, build your value and see how women are senseless with their delusional entitlement.

Ukifeli kimaisha utampoteza uyo mwanamke, utapoteza furaha, amani, uhuru na hautakua na mpango mbadala.

Niongezee tu hapo...

Wala huitaji kufeli maisha ili uachwe!

Kitu kimoja ambacho wanaume wengi hatujui ni kwamba, mwanamke hata umfanyie nini, kuna uwezekano mkubwa sana atakuacha pindi akitokea mwanaume mwenye hela kuliko wewe! Wanawake wanavutiwa sana na hela kuliko kitu kingine chochote hapa duniani. Wewe simamia kucha, nyonya matundu, lamba, nk lakini akija aliekuzidi hela UNAACHWA!

Infact wanawake zetu hawa wengi hua wanaliwa sana na watu wenye hela, we sema kinachotusaidia ni kwamba wanaume wengi wenye hela hua sio wa kuchukua jumla, wao humega na kusepa! Hicho ndio kinachofanya huyo mwanamke bado upo nae mpaka leo.

Ila kiukweli kabisa akitokea tajiri fulani akaamua kukomaa na mkeo mwanangu unaachwa asubuhi na mapema ukiwa unajiona hivi.
 
Inawezekana ukawa unampenda, unamuamini au una malengo nae kwaiyo ukakataa kukubaliana na ninachokisema hapa, lakini huu ni ukweli mchungu ambao kwa kuwahi au kuchelewa kuelewa lazima ukubaliane nao.

Ukweli ni kwamba uyo mwanamke ulienae ana list ya replacements wako. Wanaume hawa kawaweka kwenye friendzone na itakapotokea selfish demands zake kutoka kwako hazijatimia basi anaswitch upande mwingine.

Kuna jamaa anasubiri uachwe ili yeye achukue nafasi, kuna jamaa wapo uko dm zake kwenye mitandao ya kijamii, kuna jamaa uko ofisini, chuoni, mtaani kwake n.k wanampigia timing.

Utakua mjinga ukifikiri uyo mwanamke wako hawazingatii hawa wanaomtongoza, utakua mjinga zaidi ukimuamini kwa sababu anakuletea kesi za hawa wanaomtongoza. Ukweli ni kwamba atakuambia kuhusu ambao hana interest nao kabisa lakini wale ambao ana interest nao hatokuambia, utakuja kugundua tu tayari ushakua replaced.

Uwezekano wa kukuacha kwa ajiri ya mwanaume mwingine mwenye mafanikio zaidi yako ni mkubwa sana. Uwezekano wa mwanamke kuwa na mafanikio kukuzidi wewe ni mkubwa zaidi. Kumbuka yeye ana thamani ambayo ni mwili wake ni suala la kukutana na mwekezaji kwenye iyo thamani yake lakini wewe hauna thamani unatakiwa kuitengeneza thamani yako.

She may dating you while you are not stable financially but you will be a fool to think she is doing you a favor. The truth is, at that point you are her better option, when the best option show up along the way she will dump you for him without considering your sacrifices.

With women nothing is certain, anything can happen at any time.

Kwanini nakuambia haya?

Sikuambii ili uachane na mwanamke wako, ili umtreat vibaya au umuogope. Nakuambia haya ili na wewe pia uwe na mpango mbadala.

Sasa nisome kwa makini. Ninaposema uwe na mpango mbadala simaanishi kwamba na wewe uwe na circle ya wanawake. Infact iyo itakurudisha nyuma kimaendeleo kwa sababu uhusiano wowote na mwanamke ni liability, kwa maana iyo ukitengeneza circle na wanawake maana yake itakugharimu muda, umakini na rasilimali/hela.

Mpango mbadala ninaoumaanisha ni mafanikio yako. Work hard to be the best version of yourself, be financially stable and build your value. That's is a man's ultimate plan.

Unatakiwa kujua, mwanamke tayari anayo thamani kwenye mwili wake ya kumpa mpango mbadala, lakini mwanaume thamani iyo unatakiwa kuitengeneza kwenye akaunti yako ya benki.

Na hii ndio sababu wewe kama kijana unatakiwa kuacha mara moja kuwekeza kwa mwanamke ili upate sifa za kijinga. Your focus should be investing in yourself, your mind and your financial life. Build yourself and not a woman or relationship.

Don't put yourself under pressure to impress a woman. Women are cheap, are everywhere and almost all of them have just one same thing to offer(their private part). It just a matter of your value, build your value and see how women are senseless with their delusional entitlement.

Ukifeli kimaisha utampoteza uyo mwanamke, utapoteza furaha, amani, uhuru na hautakua na mpango mbadala.
Hii inatokana na mtu mwrnyewe anajiwekaje siyo kila mwanamke yuko hvyo ni baadhi tu ambao wako after money na kukosa uvumilivu
 
Niongezee tu hapo...

Wala huitaji kufeli maisha ili uachwe!

Kitu kimoja ambacho wanaume wengi hatujui ni kwamba, mwanamke hata umfanyie nini, kuna uwezekano mkubwa sana atakuacha pindi akitokea mwanaume mwenye hela kuliko wewe! Wanawake wanavutiwa sana na hela kuliko kitu kingine chochote hapa duniani. Wewe simamia kucha, nyonya matundu, lamba, nk lakini akija aliekuzidi hela UNAACHWA!

Infact wanawake zetu hawa wengi hua wanaliwa sana na watu wenye hela, we sema kinachotusaidia ni kwamba wanaume wengi wenye hela hua sio wa kuchukua jumla, wao humega na kusepa! Hicho ndio kinachofanya huyo mwanamke bado upo nae mpaka leo.

Ila kiukweli kabisa akitokea tajiri fulani akaamua kukomaa na mkeo mwanangu unaachwa asubuhi na mapema ukiwa unajiona hivi.
Sure, ndio maana hautakiwi kuwekeza kwenye mahusiano
 
Wanaume wote mnaishi kwa kujihami. Ukweli ni kwamba, mambo yamebadilika. Hata wanaume wenye pesa wana tembea na wanawake wenye pesa. Nyie tu labda ndio hamjawa wajanja hhh
 
Back
Top Bottom