Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
😂😂😂visije vikazidiMkubali aache vituko 😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂visije vikazidiMkubali aache vituko 😹
Na ukimpa lazima aje kutupa ubuyu 😹😹😂😂😂visije vikazidi
Huyo tena🤣🤣🤣ukimpa jiandae kisakolojiaNa ukimpa lazima aje kutupa ubuyu 😹😹
Atatuletea clip kuonyesha kibamia chake kinavyofanya kazi 😹🤣🤣🤣Huyo tena🤣🤣🤣ukimpa jiandae kisakolojia
🤣🤣🤣Nitalia sanaAtatuletea clip kuonyesha kibamia chake kinavyofanya kazi 😹🤣🤣🤣
😹😹😹🤣🤣🤣Nitalia sana
Yani mwanamke akipata nafas ya kumtesa mtu Huwa haangalii upande mwingine ni kipigo kitakatifu 😀😀😀Umepigwa na kitu moya nzito sana..
Aaah wanawake sio wa kispot spot usione wanaume wanahasira kali mtaani au kazini kashavurugwa home na kwa mcheps pia kavurugwa...hhahhaYani mwanamke akipata nafas ya kumtesa mtu Huwa haangalii upande mwingine ni kipigo kitakatifu 😀😀😀
😀😀Kwakweli wewe huoni had wanachama chao sahiz Cha kuwatetea wanawake ni habari nyingine wakikuamuliaAaah wanawake sio wa kispot spot usione wanaume wanahasira kali mtaani au kazini kashavurugwa home na kwa mcheps pia kavurugwa...hhahha
By the way miss u...vipi kule jukwaani mnaendeleaje...😀😀Kwakweli wewe huoni had wanachama chao sahiz Cha kuwatetea wanawake ni habari nyingine wakikuamulia
Hata sijapita sijui Wana hali gani 😀By the way miss u...vipi kule jukwaani mnaendeleaje...
Achaneni na hii kasumba ya kufikiri kila mwanaume ambae yupo ruthless kwenye kuwajudge na reckless life yenu ni ishara kwamba ameumizwa. Mbona maisha mnayoishi wanawake wa kisasa tunayaona.Umepigwa na kitu moya nzito sana..
Sauwaaa...Achaneni na hii kasumba ya kufikiri kila mwanaume ambae yupo ruthless kwenye kuwajudge na reckless life yenu ni ishara kwamba ameumizwa. Mbona maisha mnayoishi wanawake wa kisasa tunayaona.
Jitahidini kutengeneza hoja kinzani, mimi napenda sana challenge kwa sababu ndipo ninapojua wapi nimekosea. Nimeandika kitu ambacho unaona sio sahihi kuwa huru kunipinga kwa hoja.
Mbaya zaidi ambayo sitaki ni baby wangu achepuke kisa katengewa kibunda halafu tena aendelee kunililia nimpe msamaha yaani eti anataka aendelee kunitumia kingono yaani hapo ndio nachukia zaidi ni bora aende jumla nijue kuwa walimnunua kuliko alazimishe kubaki kwangu .. kisa aendelee kupata show yangu kali na pesa kwa watu wa nje hicho sitaki kabisa ni bora hiyo show mlima akaipate kwa mwingine huko nje sio mimi..Kilichobaki ni kumsanua mapema mtoto wa kiume.
Ha ha ha ha haUkweli mchungu
Bro kuna demu nimemtoa bikra Mimi Ila tangu tuachane hajawai kanitafuta Hata Kwa Bahati mbaya najiuliza ni kubuli cha namna Gani anacho yule mwanamke..
Ni kweli mkuu. Kosa la kucheat halisameheki. Mimi binafsi nishamwambia wife siku nitakayogundua ananocheat tunaachana hapo hapo, haijalishi tumefunga ndoa au tumezaa watoto, hata wazee na wazazi wanikalishe chini nibadilishe maamuzi sitasikiliza ushauri wa mtu yoyote. Kwaiyo akiamua kukitombesha uko nje sawa ni mwili wake lakini consequences anazijuaMbaya zaidi ambayo sitaki ni baby wangu achepuke kisa katengewa kibunda halafu tena aendelee kunililia nimpe msamaha yaani eti anataka aendelee kunitumia kingono yaani hapo ndio nachukia zaidi ni bora aende jumla nijue kuwa walimnunua kuliko alazimishe kubaki kwangu .. kisa aendelee kupata show yangu kali na pesa kwa watu wa nje hicho sitaki kabisa ni bora hiyo show mlima akaipate kwa mwingine huko nje sio mimi..
Yaani navyojikunja hivi huwa nawaza tu kuwa enjoy while it last siku tukiachana hakikisha unaangukia kwa babiloni mwingine kama mimi..
Mimi nilijua wew hujaoa kumbe unalala pazuri wenzio aah 😀😀😀Ni kweli mkuu. Kosa la kucheat halisameheki. Mimi binafsi nishamwambia wife siku nitakayogundua ananocheat tunaachana hapo hapo, haijalishi tumefunga ndoa au tumezaa watoto, hata wazee na wazazi wanikalishe chini nibadilishe maamuzi sitasikiliza ushauri wa mtu yoyote. Kwaiyo akiamua kukitombesha uko nje sawa ni mwili wake lakini consequences anazijua
Mimeoa na nina mtoto mmoja. Hakuna siku ambayo nimekataza watu kuoa. Kuoa sawa ila ule mkataba wa kitapeli uliopewa jina la ndoa siwezi kusainiMimi nilijua wew hujaoa kumbe unalala pazuri wenzio aah 😀😀😀