Mwanamke wako ana mpango mbadala

Mwanamke wako ana mpango mbadala

Mimeoa na nina mtoto mmoja. Hakuna siku ambayo nimekataza watu kuoa. Kuoa sawa ila ule mkataba wa kitapeli uliopewa jina la ndoa siwezi kusaini
Nilichogundua ni kwamba watu wanadhani tunaosema kataa ndoa ni tunamaanisha kataa kuoa..

Ukweli ni kwamba ndoa ni tofauti na kuoa
Kuoa ni kwamba mnatambulishana pande zote mbili na kama mahari unalipa accordingly yaani hapa hakuna mtu anakulazimisha kuwa lazima utoe kiasi kadhaa ndio uishi na binti yetu..
Ukiona mama au baba wa binti anajikita kwenye kukusopoa fedha nyingi na wanafanya lazima basi hiyo ni big redflag kabisa ya mwanzo ambayo haihitaji kusubiri hadi uanze kuishi na binti yao.

Kwanini??

Wazazi wa binti hawatakiwi kuwa na power juu yako hata siku moja hata kwa kuteleza tu haitakiwi..
Wewe ndio unatakiwa uwe na power kila sehemu sio mtu mwingine yeyote yule awe anatoka upande wa binti au wa kwenu wewe mwanaume.. maana muoaji ni wewe..

Wazazi wakiwa na power juu yenu maana yake ni kuwa mtaishi chini ya misingi yao jambo ambalo litakupelekea mwanaume ukose mamlaka kamili kwa familia yako
Like wanaweza kuamua muda wowote binti aende kwao wanapojisikia na binti akaenda hata kama wewe hutaki jambo hilo litokee so unashindwa kuoppose hilo jambo.. Hii inaweza ikaja siku ukashangaa unaulizwa maswali ambayo utaona kabisa mbona ni kama navuliwa nguo na wakwe zangu? Kwanini?
Kwasababu hujaseti standards na limits zako so wanakuona vulnerable sana..
Kiasi hata shemeji yako mdogo kiumri akawa anakukoromea akihisi kuwa anakumudu.

Vijana kabla hawajaoa ni lazima watake total control juu ya binti na familia yake wakati wote wa uchumba..
 
Nilichogundua ni kwamba watu wanadhani tunaosema kataa ndoa ni tunamaanisha kataa kuoa..

Ukweli ni kwamba ndoa ni tofauti na kuoa
Kuoa ni kwamba mnatambulishana pande zote mbili na kama mahari unalipa accordingly yaani hapa hakuna mtu anakulazimisha kuwa lazima utoe kiasi kadhaa ndio uishi na binti yetu..
Ukiona mama au baba wa binti anajikita kwenye kukusopoa fedha nyingi na wanafanya lazima basi hiyo ni big redflag kabisa ya mwanzo ambayo haihitaji kusubiri hadi uanze kuishi na binti yao.

Kwanini??

Wazazi wa binti hawatakiwi kuwa na power juu yako hata siku moja hata kwa kuteleza tu haitakiwi..
Wewe ndio unatakiwa uwe na power kila sehemu sio mtu mwingine yeyote yule awe anatoka upande wa binti au wa kwenu wewe mwanaume.. maana muoaji ni wewe..

Wazazi wakiwa na power juu yenu maana yake ni kuwa mtaishi chini ya misingi yao jambo ambalo litakupelekea mwanaume ukose mamlaka kamili kwa familia yako
Like wanaweza kuamua muda wowote binti aende kwao wanapojisikia na binti akaenda hata kama wewe hutaki jambo hilo litokee so unashindwa kuoppose hilo jambo.. Hii inaweza ikaja siku ukashangaa unaulizwa maswali ambayo utaona kabisa mbona ni kama navuliwa nguo na wakwe zangu? Kwanini?
Kwasababu hujaseti standards na limits zako so wanakuona vulnerable sana..
Kiasi hata shemeji yako mdogo kiumri akawa anakukoromea akihisi kuwa anakumudu.

Vijana kabla hawajaoa ni lazima watake total control juu ya binti na familia yake wakati wote wa uchumba..
Mkuu umetisha mno, tukiwa tunapata madarasa kama haya akili zitatukaa sawa.
 
Nilichogundua ni kwamba watu wanadhani tunaosema kataa ndoa ni tunamaanisha kataa kuoa..

Ukweli ni kwamba ndoa ni tofauti na kuoa
Kuoa ni kwamba mnatambulishana pande zote mbili na kama mahari unalipa accordingly yaani hapa hakuna mtu anakulazimisha kuwa lazima utoe kiasi kadhaa ndio uishi na binti yetu..
Ukiona mama au baba wa binti anajikita kwenye kukusopoa fedha nyingi na wanafanya lazima basi hiyo ni big redflag kabisa ya mwanzo ambayo haihitaji kusubiri hadi uanze kuishi na binti yao.

Kwanini??

Wazazi wa binti hawatakiwi kuwa na power juu yako hata siku moja hata kwa kuteleza tu haitakiwi..
Wewe ndio unatakiwa uwe na power kila sehemu sio mtu mwingine yeyote yule awe anatoka upande wa binti au wa kwenu wewe mwanaume.. maana muoaji ni wewe..

Wazazi wakiwa na power juu yenu maana yake ni kuwa mtaishi chini ya misingi yao jambo ambalo litakupelekea mwanaume ukose mamlaka kamili kwa familia yako
Like wanaweza kuamua muda wowote binti aende kwao wanapojisikia na binti akaenda hata kama wewe hutaki jambo hilo litokee so unashindwa kuoppose hilo jambo.. Hii inaweza ikaja siku ukashangaa unaulizwa maswali ambayo utaona kabisa mbona ni kama navuliwa nguo na wakwe zangu? Kwanini?
Kwasababu hujaseti standards na limits zako so wanakuona vulnerable sana..
Kiasi hata shemeji yako mdogo kiumri akawa anakukoromea akihisi kuwa anakumudu.

Vijana kabla hawajaoa ni lazima watake total control juu ya binti na familia yake wakati wote wa uchumba..
Watu wengi wanashindwa kutofautisha kuoa na ndoa. Kuoa ni kufuata taratibu za kitamaduni, na ndoa no ule mkataba mnaosaini kuyatambulisha mahusiano yenu kisheria.

Tunavyosema kataa ndoa kuna watu wanafikiri kwamba tunapingana kabisa na mahusiano ya mwanaume na mwanamke na wajinga wanakujaga na hpja ya ushoga. Hawajui ambachp hatukibaliani nacho ni ile mkataba ambao haumtendei haki mwanaume.

Kuhusu heshima ukweni lazima uilinde. Mimi wakati nimeenda kutoa mahari niliuliza kabisa taratibu nzima inakuaje ili nijue kipi nafanya kipi sifanyi. Katika taratibu zao za utoaji mahari kuna muda unatakiwa kupiga magoti kuwafuata mashangazi kama ishara ya kuomba idhini ya kumchukua binti yao, mimi nilisema wazi tangu mwanzo kwamba hicho kitendo siwezi kufanya kama mke waninyime tu.
 
Watu wengi wanashindwa kutofautisha kuoa na ndoa. Kuoa ni kufuata taratibu za kitamaduni, na ndoa no ule mkataba mnaosaini kuyatambulisha mahusiano yenu kisheria.

Tunavyosema kataa ndoa kuna watu wanafikiri kwamba tunapingana kabisa na mahusiano ya mwanaume na mwanamke na wajinga wanakujaga na hpja ya ushoga. Hawajui ambachp hatukibaliani nacho ni ile mkataba ambao haumtendei haki mwanaume.

Kuhusu heshima ukweni lazima uilinde. Mimi wakati nimeenda kutoa mahari niliuliza kabisa taratibu nzima inakuaje ili nijue kipi nafanya kipi sifanyi. Katika taratibu zao za utoaji mahari kuna muda unatakiwa kupiga magoti kuwafuata mashangazi kama ishara ya kuomba idhini ya kumchukua binti yao, mimi nilisema wazi tangu mwanzo kwamba hicho kitendo siwezi kufanya kama mke waninyime tu.
The moment you bow down to anyone means you submit your all values no matter the case.
 
Watu wengi wanashindwa kutofautisha kuoa na ndoa. Kuoa ni kufuata taratibu za kitamaduni, na ndoa no ule mkataba mnaosaini kuyatambulisha mahusiano yenu kisheria.

Tunavyosema kataa ndoa kuna watu wanafikiri kwamba tunapingana kabisa na mahusiano ya mwanaume na mwanamke na wajinga wanakujaga na hpja ya ushoga. Hawajui ambachp hatukibaliani nacho ni ile mkataba ambao haumtendei haki mwanaume.

Kuhusu heshima ukweni lazima uilinde. Mimi wakati nimeenda kutoa mahari niliuliza kabisa taratibu nzima inakuaje ili nijue kipi nafanya kipi sifanyi. Katika taratibu zao za utoaji mahari kuna muda unatakiwa kupiga magoti kuwafuata mashangazi kama ishara ya kuomba idhini ya kumchukua binti yao, mimi nilisema wazi tangu mwanzo kwamba hicho kitendo siwezi kufanya kama mke waninyime tu.
Waafrika wengi wamekua wakakuta dhana kandamizi sana kama ukitaka kitu kuwa mnyenyekevu so hata kuattain mke watu wanalazimisha unyenyekee..
Kunyenyekea hakuwezi kukupandisha juu kamwe milele zaidi ya kukufanya uwe ngazi ya wengine (You only end-up being one's stepping stone) It may be your boss, Biz partner or your wife.

Watu wanafanikiwa kwa kutumia hila tu chunguza uone,, hawafanikiwi kupitia kunyenyekea bali hila
Yaani wanaangalia weakness point then wanaexploit hapo hapo.

Maisha ni mchezo kama michezo mingine ndio maana yana mwisho yaani Uzeeni.
So kanuni za mchezo zipo wazi (You win through deceiving).
 
Back
Top Bottom