Mwanamke wangu ameenda ofisini kwao na love bite shingoni. Nipo Dodoma kikazi, ijumaa narudi Dar kuonana naye

Bro najua una emotions kali, ila ukweli mchungu ni kwamba asilimia kubwa ya long distance relationships(sio zote ila % kubwa), they just don't work. Mwanaume anaweza kuwa committed ila sio mwanamke kwa kuwa mwanamke ni visual beings, asipokuwa na physical contact na wewe kwa muda mrefu, ana asilimia kubwa ya kukusaliti.


Usimpige, block number, kama umempangia chumba, kachukue mizigo yako usimwambie chochote, then sepa. Anza maisha mapya.

Kuwa mwanaume mwenye maamuzi. Mimi kwa mfano nachokonoa hadi systems kufahamu uhalisia kuhusu mwanamke ninaye-date naye, nikiona hamnazo, I just walk away.
 
Umemuoa huyo mwanamke?? Halafu kwanini kumpiga kwamba ukimpiga ndio atakuwa hajapigwa love bite au hajakusaliti ( Undo)????
Real men don beat women wewe kama umemuamini huyo swala tano wako basi achana nae bila kupigana.

Halafu mama mtu mzima " mnayeheshimiana" mnaanzaje kuongelea mambo la love bite? Kama hakupendezwa kwanini asingemwambia workmate wake hadi akupigie simu wewe??
 
Jitahidi pia ukifika weka mazingira vizuri mtombe mnoo kabla hujamuua au kujiua!!
 
Fin ndio umeona wakiish hivyo.

Yani ukute ni mwanangu anakuja niambia amepigwa na mtu anaejiita mchumba aisee utanitambua, hakuna rangi utaacha ona " chali angu" nakufanya hamna.... utakoma kabisa kupiga wanawake... I'm telling you... wewe piga kwasabab unamuona mnyonge mwenzako, siku ukipata wenye back up ndio utakuwa mwisho wako wa kuliliq mambo yaliyokuzid uwezo.
 
Ungenwambia apige picha ili uthibutishe. Huenda huyu rafiki anataka kukuachanisha naye. Yaani nime sense wivu kutoka kwake. Usipotumia akili za kiuanaume basi mchumba utampoteza kijinga.
 
Kwa taarifa yako mm si mwanaume dhaifu..
Mwanaume ni kichwa
Mwanaume ni mfalme
Mwanaume ni dume la simba
Huezi kunitishia mm siogopi na huna cha kunifanya huezi toa ushauri pita kimya kimya
Unaeza kunitishia kunipiga ww tusichukuliane poa kabisa humu.. mtoto wako tu nyumbani alivunja glass unamchapa sembuse mwanamke anaekusaliti umwache tu kizembe ?
Aisee hapana si kwa mm sitakagi ujinga hata kidogo...
 

Unaenda kumpiga mchumba, tena usikute hata mahari bado hujatoa. Ukioa si utaua kabisa.
 
 
Wengine tunajiweka love bite tukimis mjegeje
So hakiki kama sehemu ilipo mtu hawezi kujiweka
 
Tatizo lenu hamumsikilizi dronedrake .
Haya achana nae huyo muoe shemeji aliyekupa taarifa.

Halafu na wewe una mazoea mabaya na wafanyakazi wenzake na mkeo. Anapataje ujasiri wa kukwambia jambo kama hilo?


hii ndiyo dawa yenu, majivu yanafukiwa shamba la Mkuranga kama ratiba inavyoeleza

cc: Hamis Said Luongo
 
Pamoja na yote hayo juu hapo bado unaumizwa na mapenzi. Where was ufalme na udume wa simba mpaka ukachapiwa??
 
Tatizo lenu hamumsikilizi dronedrake .
Haya achana nae huyo muoe shemeji aliyekupa taarifa.

Halafu na wewe una mazoea mabaya na wafanyakazi wenzake na mkeo. Anapataje ujasiri wa kukwambia jambo kama hilo?
Huyo mwanamke mm ndie niliemtafutia hiyo kazi hapo maana nilikua nafanya kazi hapo kabla sijapata kazi serikalini..So staff wenzake wengi nawajaua sabab niliwah fanya kazi nao ..
 
Kwamba ukiua ndo utaishi kwa amani? Watoto wazuri wamejaa kibao uue uende jela mwishowe ushikishwe ukuta.

Kata mti panda mti, stress for what?
mnacheza na hisia za watu, mizinga umpige , mahari juu, bado ukagawe nyuchi kwengine ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…