Mwanamke wangu anamiguu iliyokonda

Mwanamke wangu anamiguu iliyokonda

issa zuber

Member
Joined
Mar 5, 2014
Posts
14
Reaction score
9
Habarini za majukumu wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu, mke wangu anamiguu iliyokonda sana (hana supu).

Maumbile yake siyo mwembamba ila ni miguu tu imenyauka nyauka kama fito. Huwa inanikosesha amani sijifeel comfortable nikiwa nae hasa tukiongozana njiani.

KAMA KUNAUWEZEKANO WA DAWA AU HATA USHAURI NISAIDIENI WAKUU INANIUMA SANA MKE WANGU KUWA HIVYO.

Natanguliza shukrani
 
Habarini za majukumu wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu, mke wangu anamiguu iliyokonda sana (hana supu).

Maumbile yake siyo mwembamba ila ni miguu tu imenyauka nyauka kama fito. Huwa inanikosesha amani sijifeel comfortable nikiwa nae hasa tukiongozana njiani.

KAMA KUNAUWEZEKANO WA DAWA AU HATA USHAURI NISAIDIENI WAKUU INANIUMA SANA MKE WANGU KUWA HIVYO.

Natanguliza shukrani
imenibidi nicheke yaan... labda nikuulize ulilazimishwa kumuoa??
 
Watu wa aina yako ndiyo mnasababisha wanawake watumie madawa ya kunenepesha maumbile. Kipindi unamuoa hukuiona? Au ulioa chura? Ridhika naye na uwe na amani kwa jinsi alivyo.
Kipindi Mungu anamuumba alijua kabisa yeye hahitaji miguu minene bali hiyo myembamba ndiyo saizi yake. Sasa wewe Unataka kimkosoa Mungu?
 
Watu wa aina yako ndiyo mnasababisha wanawake watumie madawa ya kunenepesha maumbile. Kipindi unamuoa hukuiona? Au ulioa chura? Ridhika naye na uwe na amani kwa jinsi alivyo.
Kipindi Mungu anamuumba alijua kabisa yeye hahitaji miguu minene bali hiyo myembamba ndiyo saizi yake. Sasa wewe Unataka kimkosoa Mungu?

Naomba kuona miguu yako plz
 
Naomba kuona miguu yako plz
16475108ac5d22519d27a22121f18d2c.jpg
 
Back
Top Bottom