issa zuber
Member
- Mar 5, 2014
- 14
- 9
imenibidi nicheke yaan... labda nikuulize ulilazimishwa kumuoa??Habarini za majukumu wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu, mke wangu anamiguu iliyokonda sana (hana supu).
Maumbile yake siyo mwembamba ila ni miguu tu imenyauka nyauka kama fito. Huwa inanikosesha amani sijifeel comfortable nikiwa nae hasa tukiongozana njiani.
KAMA KUNAUWEZEKANO WA DAWA AU HATA USHAURI NISAIDIENI WAKUU INANIUMA SANA MKE WANGU KUWA HIVYO.
Natanguliza shukrani
Watu wa aina yako ndiyo mnasababisha wanawake watumie madawa ya kunenepesha maumbile. Kipindi unamuoa hukuiona? Au ulioa chura? Ridhika naye na uwe na amani kwa jinsi alivyo.
Kipindi Mungu anamuumba alijua kabisa yeye hahitaji miguu minene bali hiyo myembamba ndiyo saizi yake. Sasa wewe Unataka kimkosoa Mungu?
Naomba kuona miguu yako plz
Kawaida tu mkuuMashalaaah