We mshamba tu alafu viboy Kama Wewe huwa mnaharibu Sana ndoa za watu Kwa kujifanya mnajua Sana kushinda wanaume wengine .Hata wewe unahongwa tu. Maskini wahead wewe. πππ
Mwambie sasa π πHiyo nauli tu kwa mwezi ni kama 150k bado hivo vitu vingine aisee sina uchumi huo now
paKataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine.
Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake
Alikuwa anakufukuza kiaina. Kiufupi wewe ndo umeachwa.Kataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine.
Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake
Aisee...Kataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine.
Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake
Aisee sawa mkuuAlikuwa anakufukuza kiaina. Kiufupi wewe ndo umeachwa.
Halafu eti ana kabiashara ya kwenda china amebuniHapo approximately anahitaji 1.5m per month yani mshahara wa doc
Piga chini
Inashangaza sanaHalafu eti ana kabiashara ya kwenda china amebuni
Yani kamari ya biashara yake anataka acheze na mitaji ya watu
Sa level Gani mtu anaomba mpaka hela ya pads.Muwe mnatongoza level zenu huyo sio level yako
KunΓ wakati inakuwa hivyo. Mtu humpendi na umekosa sababu ya kumuacha unampiga mizinga ya ajabu ajabu kama hiyo uliyopigwa wewe akijua kabisa huwezi kumpa utamuona omba omba na kuachana nae.Aisee sawa mkuu
Daah kama wewe ni mwanamke mwenzake na umeliona hilo bac inaweza kuwa kweliKunΓ wakati inakuwa hivyo. Mtu humpendi na umekosa sababu ya kumuacha unampiga mizinga ya ajabu ajabu kama hiyo uliyopigwa wewe akijua kabisa huwezi kumpa utamuona omba omba na kuachana nae.
Ni kweli pesa tunaomba lakini sio kwa mtindo huo lohπ.Daah kama wewe ni mwanamke mwenzake na umeliona hilo bac inaweza kuwa kweli
Umeona Queen nahisi na haka kavulana kanajiita #zeelaMandandu katakuwa kamekuelewa naona kanajifanya kavulana kakuhonga honga hovyo mpaka kana mvunjia heshima baharia mwenzetu humu ndani.Ni kweli pesa tunaomba lakini sio kwa mtindo huo lohπ.
Kaamua kukuchosha kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ukitongoza kwa njia ya kuhonga demu anakuchukulia kama fursa, hata hisia na wewe anakua hana zaidi ya kuwaza tu pesa zako muda wote.Wewe unaona alichokifanya mwenzako ni sahihi mtu kazi anayo bado anataka anitegemee jwa kila kila kitu na juzi jumanne nimempa 80k ya kusuka na mambo mengine madogo madogo lakini leo tena tayari bili mpya
Shukrani sana mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ukitongoza kwa njia ya kuhonga demu anakuchukulia kama fursa, hata hisia na wewe anakua hana zaidi ya kuwaza tu pesa zako muda wote.
Demu wa namna hii hata kitandani hauwezi kumkojolesha, wakati wa kudinyana anakua hana hisia na wewe, hisia zake zote zinakua kwenye wallet yako.
Mimi nikitongoza hua namwambia demu mapema kabisa kua nina allergies na mizinga, ukinipiga tu mizinga siku hiohio hisia na wewe zinakufa, hapo atachagua mwenyewe kusuka au kunyoa.
Kuhonga wakati wa kutongoza haitakiwi kua zaidi ya chocolate na matunda, tukishaenda sawa hela yangu utaila bila hata ya kuniomba.
Mahusiano na Matonya(ombaomba) hua kwangu hayana nafasi.
Piga chini fasta huyo kausha damu.
Acha tu sio poa yaniNi kweli pesa tunaomba lakini sio kwa mtindo huo lohπ.
Kaamua kukuchosha kabisa
Kwani mkimpenda mtu huwa mnakuwaje?Huyo hakupendi, sio mwanamke wako sababu ana mwanaume wake anayempenda sana na sio wewe