Mwanamke wangu ananiomba sana hela. Kwa hali hii nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine

Poleni ndugu zangu...

Hawa wanyonya damu huwa mnakutana nao wapi kwani? Mbona Sisi wengine hatuombwi badala yake wao ndio wanaotupatia ?

Tatizo lenu ni kuwakurupukia wanawake wasiowapenda. Namshukuru Mungu kwa mwanamke aliyenijalia kwani ana huruma Sana na mfuko wangu, anajua Hali yangu, kwenye harakati zangu ananisapoti kwa kila hali, hata nilipokwama katika mambo ya mahari alinitia moyo na kuniambia nisiwaze atatoa hiyo pesa , mahari ya 2.8 M na Pete ya uchumba Shilingi 500,000/-.

Nikisema nieleze kila Jambo naona muda hautoshi. Ee Mungu nitunzie huyu kiumbe.

Najua kuna waliojeruhiwa watabeza Sana lakini mwanamke akikupenda hapa duniani Huwezi kuteseka. Wanachotaka wao ni kuwarudishia upendo uleule wanaotupatia na kuwaheshimu.
 
Endelea kujichanganya utapata majibu sawa mkuuu
pa
 
Alikuwa anakufukuza kiaina. Kiufupi wewe ndo umeachwa.
 
Aisee...
 
Aisee sawa mkuu
KunΓ  wakati inakuwa hivyo. Mtu humpendi na umekosa sababu ya kumuacha unampiga mizinga ya ajabu ajabu kama hiyo uliyopigwa wewe akijua kabisa huwezi kumpa utamuona omba omba na kuachana nae.
 
KunΓ  wakati inakuwa hivyo. Mtu humpendi na umekosa sababu ya kumuacha unampiga mizinga ya ajabu ajabu kama hiyo uliyopigwa wewe akijua kabisa huwezi kumpa utamuona omba omba na kuachana nae.
Daah kama wewe ni mwanamke mwenzake na umeliona hilo bac inaweza kuwa kweli
 
Ni kweli pesa tunaomba lakini sio kwa mtindo huo lohπŸ˜€.
Kaamua kukuchosha kabisa
Umeona Queen nahisi na haka kavulana kanajiita #zeelaMandandu katakuwa kamekuelewa naona kanajifanya kavulana kakuhonga honga hovyo mpaka kana mvunjia heshima baharia mwenzetu humu ndani.
 
Wewe unaona alichokifanya mwenzako ni sahihi mtu kazi anayo bado anataka anitegemee jwa kila kila kitu na juzi jumanne nimempa 80k ya kusuka na mambo mengine madogo madogo lakini leo tena tayari bili mpya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ukitongoza kwa njia ya kuhonga demu anakuchukulia kama fursa, hata hisia na wewe anakua hana zaidi ya kuwaza tu pesa zako muda wote.
Demu wa namna hii hata kitandani hauwezi kumkojolesha, wakati wa kudinyana anakua hana hisia na wewe, hisia zake zote zinakua kwenye wallet yako.
Mimi nikitongoza hua namwambia demu mapema kabisa kua nina allergies na mizinga, ukinipiga tu mizinga siku hiohio hisia na wewe zinakufa, hapo atachagua mwenyewe kusuka au kunyoa.
Kuhonga wakati wa kutongoza haitakiwi kua zaidi ya chocolate, matunda na maua, tukishaenda sawa hela yangu utaila bila hata ya kuniomba.
Mahusiano na Matonya(ombaomba) hua kwangu hayana nafasi.
Piga chini fasta huyo kausha damu.
 
Shukrani sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…