kichwangum
Member
- Nov 10, 2024
- 43
- 62
- Thread starter
-
- #41
mkuu yaan we achatu had keroBora wewe mimi 4 days now namcheki kimya tu
Hawa watoto under 23 jau sana.
Pole sana , wengine hawataki kutafutwa mara kwa mara hawafanani. Ni kuishi nao kwa akiliHabar ndugu zangu.
Awa wanawake sijiu wanakuwa na shida gani.Yaani kuna muda hata huwezi elewa anataka nini kwako,ili mapenz yadumu.
Anyway nimeachwa kisa anasema huwa simtafuti mara kwa mara. Sasa sijajua anataka nisiwe nafanya hata kazi ili nipate pesa.
100%Pole sana , wengine hawataki kutafutwa mara kwa mara hawafanani. Ni kuishi nao kwa akili