Mwanamke wangu niliyezaa naye tumezinguana. Roho inaniuma naombeni ushauri wenu

PUMBAVU, PUMBAVU WEWE! narudia WEWE NI MPUMBAVU!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Subiri na yeye akianza kutafuta aliemtoa bikra au aliemkuna vizuri mwanzoni kisha ulete uzi wa mke wako anachepuka
 
Pale unapo mchukulia poa make wako, unaanza kuhangaika na mzazi mwenzio ambaye naye nafikiri ana ndoto za kuja kuwa na mume........ Labda utakuja na ungunduzi mwingine mkuu
 
Kumbe shida sio single mothers tu.
Kuna wanaume ni tatizo pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga wee jamaa unatakiwa uwe na msimamo kama unahisi una muhitaji nenda kama hakufai acha una lia na kinacho kuliza unalijua kwann usijitibu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfia nchi, Ndo maana kuna jamaa hapo juu amekwambia hujitambui.

Unaendeshwa na tamaa za ngono! Tunza na kulea familia yako na huyo mtoto wa nje mlee pia lakin suala la ngono kwa huyo mama wa nje unafanya ujinga tu ambao utakucost badae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…