Dr leader
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 893
- 1,021
Mwanamke
Sifa yake huruma
Japo kuwa anauma
Mjuvi wa tundama
Kisha anavutia
Machoni ukimtia
Vito utampatia
Ila ana nyuso mbili
Akigeuka tumbili
Usimjue awali
Ana nyingi zake siri
Tena ana umahiri
Hujifanyia kiburi
Pepo kwake rahisi
Atapo ishinda nafsi
Kapambwa na iblisi
Ana mambo na vijambo
Na mwingi wa majigambo
Apendacho ni kugomba
Starehe yangu duniani
Kalisema hilo manani
Na mapambo ya peponi
Na akhera hururaini
Abuuabdillah [emoji3578][emoji1241]
Sifa yake huruma
Japo kuwa anauma
Mjuvi wa tundama
Kisha anavutia
Machoni ukimtia
Vito utampatia
Ila ana nyuso mbili
Akigeuka tumbili
Usimjue awali
Ana nyingi zake siri
Tena ana umahiri
Hujifanyia kiburi
Pepo kwake rahisi
Atapo ishinda nafsi
Kapambwa na iblisi
Ana mambo na vijambo
Na mwingi wa majigambo
Apendacho ni kugomba
Starehe yangu duniani
Kalisema hilo manani
Na mapambo ya peponi
Na akhera hururaini
Abuuabdillah [emoji3578][emoji1241]
Upvote
1