WONDERWOMAN
Member
- Jul 21, 2009
- 79
- 15
Withdrawal Haina neno kabisa.. Sababu mambo yakienda sivyo Waweza kwenda tu Pharmacy nunua ( morning after pills ) Depends how much you spent .. Kuna nyingine mpaka masaa 48 after SEX..Lakini naona ni vema zaidi Kutumia pills, injection, condom za kike.. Au kama condom za kawaida..Inategemea namakubaliano kati ya (mke na mume)
Kwa kweli siamini morning after pillsni abortion.Nielewavyo mimi abortion ni pale unauhakikaAsilimia ya mia kwamba u mjamzito na Ukaitoa hiyo mimba.....Morning after pills unachukua masaa baadaYa sex.. na kwa kawaida inachukua mpakaWiki mbili kwa pregnancy test kuonyeshaU mjamzito..Naamini morning after pills sio abortion .. Ila kila mtu ana opinion zake kuhusu hili..My dia msaada kidogo wa elimu. Hapo nilipo bold......hiyo siyo abortion??
Kwa kweli siamini morning after pillsni abortion.Nielewavyo mimi abortion ni pale unauhakikaAsilimia ya mia kwamba u mjamzito na Ukaitoa hiyo mimba.....Morning after pills unachukua masaa baadaYa sex.. na kwa kawaida inachukua mpakaWiki mbili kwa pregnancy test kuonyeshaU mjamzito..Naamini morning after pills sio abortion .. Ila kila mtu ana opinion zake kuhusu hili..
Asante wewe dear... Have a great day 🙂Asante my dia........ you are very kind :A S-rose:
My dia msaada kidogo wa elimu. Hapo nilipo bold......hiyo siyo abortion??
Kwa kweli siamini morning after pillsni abortion.Nielewavyo mimi abortion ni pale unauhakikaAsilimia ya mia kwamba u mjamzito na Ukaitoa hiyo mimba.....Morning after pills unachukua masaa baadaYa sex.. na kwa kawaida inachukua mpakaWiki mbili kwa pregnancy test kuonyeshaU mjamzito..Naamini morning after pills sio abortion .. Ila kila mtu ana opinion zake kuhusu hili..
Asante my dia........ you are very kind :A S-rose: