WONDERWOMAN
Member
- Jul 21, 2009
- 79
- 15
Salamu wana jmvi,
Hebu nijuzeni ,kunako sita kwa sita ikatokea bwana mzee kapanda kilima kabla hajafika uhuru peak hasa kama inabidi awithdraw na akashindwa kufika kabisa akaambulia premature ejaculation ,madhara yake ni nini? msongo wa mawazo,frustration ?na mnaionaje withdrawal kama birth control method ,maana wakati mwingine inakasirisha.
Hebu nijuzeni ,kunako sita kwa sita ikatokea bwana mzee kapanda kilima kabla hajafika uhuru peak hasa kama inabidi awithdraw na akashindwa kufika kabisa akaambulia premature ejaculation ,madhara yake ni nini? msongo wa mawazo,frustration ?na mnaionaje withdrawal kama birth control method ,maana wakati mwingine inakasirisha.