figganigga JF-Expert Member Joined Oct 17, 2010 Posts 25,724 Reaction score 55,906 Jun 12, 2016 Thread starter #21 rallphryder said: Kama hujui vizuri kiingereza, usikimbilie kutoa tafsiri za uongo, we unasema muuaji kauwawa Wakati habari halisi inasema kajiua! Kama hujui acha! Click to expand... Asante kwa ufafanuzi, lakini mimi ndo nmekupa mwanga wa hilo tukio, yafaa kunisifu hata kwa hilo tu sababu mimi si muingeleza. Hongera kwa kujua kimombo mkuu
rallphryder said: Kama hujui vizuri kiingereza, usikimbilie kutoa tafsiri za uongo, we unasema muuaji kauwawa Wakati habari halisi inasema kajiua! Kama hujui acha! Click to expand... Asante kwa ufafanuzi, lakini mimi ndo nmekupa mwanga wa hilo tukio, yafaa kunisifu hata kwa hilo tu sababu mimi si muingeleza. Hongera kwa kujua kimombo mkuu
E eddy JF-Expert Member Joined Dec 26, 2007 Posts 16,054 Reaction score 11,568 Jun 12, 2016 #22 diamond inabidi awe makini kwenye safari zake dunia imeharibika sana
B bigonzo JF-Expert Member Joined Feb 23, 2016 Posts 2,914 Reaction score 2,255 Jun 12, 2016 #23 watanzania mlioko marekani rudini hom hakufai huko