Mwanamuziki General Defao ashindwa kulipa bili ya KSh 20,000

Doh! Hadi huruma mbona kawa hivi , ni uzee ama neeeene?!
 
Ebanaa eee lipo kama mzimu mikorogo ukikutana nae kama una roho nyepesi waweza sepaa
 
Si auze cheni zake mzee wa PHIL & SALANOKI, au ni cheni midosho? Hawa jamaa ni mwendo wa kupendeza tu hawakumbuki kuwekeza, hivi usikute hata nyumba hana huyu
 
Daah huyu ndiye Defao Matumona mzee wa Madova?? Kweli maisha ni ligi.
 
Astaghafillular radhim huyu mbona anafanana na mzimu huyu
 
Huyu jamaa hata hapa Tanzania yalishamtokea mambo kama hayo akaomba msaada kwa Raisi Mkapa
Nakumbuka io.sasa sijui n tabia yke au ni nn?
by the way amepungua unene kdg
 
Le General Defao stranded in Kenya
Congolese Rhumba maestro General Defao had been detained in an apartment in Nyali Mombasa , Kenya after his promoter Mr. Rashid allegedly abandoned him
Source: The Star Kenya
 
Live on stage General Defao
Source: Congopromo TV5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…