Siri ya nini,nini maana yake Siri yooo
Sisi ndio majirani zake simu imepigwa kutona Hispitali amana na Ndugu zake wakithibitisha kuwa amefariki kweliJamaa kazushiwa sana kifo, hata hii taarifa siiamini. Ngoja jioni nipite maeneo ya nyumbani kwake Temeke veternary karibia na kwa muhindi nithibitishe
Nachechemea...!!!Habari zilizotufikia Majirani zake Muda huu kutoka kwa ndugu zake waliokuwa wanamuuguza Hosptitali ya Amana, Amefariki Dunia jioni hii
View attachment 2583383
Habari zilizotufikia Majirani zake Muda huu kutoka kwa ndugu zake waliokuwa wanamuuguza Hosptitali ya Amana, Amefariki Dunia jioni hii
View attachment 2583383
Yeah mkuu, apumzike kwa amani, binafsi aliniburudisha na kunielimisha, kumbuka Pamela (baba ya muziki),conjesta (sikinde),kipindi nchi Ina heshima na adabuNachechemea...!!!