TANZIA Mwanamuziki Hussein Jumbe afariki dunia

Siri ya niniiii?

Rest in peace legend.
Naam.

Kuna wakati huyu bwana sijui alikuwa anapitia mambo gani. Kuna siku nasikia Radio One kuwa amevunjika mguu, eti aliota akikimbizwa na Kuku hivyo akadondoka kitandani. Apumzike kwa amani.
 
Mwamba kazushiwa kifo mara kadhaa
Sijui sasa kama huu ni muendelezo wa uzushi au kavuta kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…