Kuna wakati huyu bwana sijui alikuwa anapitia mambo gani. Kuna siku nasikia Radio One kuwa amevunjika mguu, eti aliota akikimbizwa na Kuku hivyo akadondoka kitandani. Apumzike kwa amani.
Kuna wakati huyu bwana sijui alikuwa anapitia mambo gani. Kuna siku nasikia Radio One kuwa amevunjika mguu, eti aliota akikimbizwa na Kuku hivyo akadondoka kitandani. Apumzike kwa amani.