Mwanamuziki maarufu kanitapeli 80,000/=


Uliposema wewe ni mfanya biashara mi nikafikiri biashara yako kumbe unabosi wako? Basi wewe ni mfanyakazi na sio mfanyabiashara.
Kama ni mwanamuziki star na hataki kulipa basi mwambie kwenye nyimbo zake mpya tano awe anakutaja taja humo akufanyie promo na kwenye video zake uuze sura kidogo na wewe punde unakuwa star wa bongo, alafu deni linakwisha.
 
Now day tulishazoea mnatafuta sifa kupitia wasani utajebebaaaaaaaa
 
We utaki chako...umeshindwa kumtaja hata huyo maarufu kwel??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…