Du umri unaenda aisee amekuwa Hivi sokuhizi?Mwanamama Yvonne Chakachaka alijizolea umaarufu mkubwa Duniani kwa nyimbo mbalimbali ikiwemo Umkomboti na Sangoma
View attachment 1640678View attachment 1640679View attachment 1640680View attachment 1640682View attachment 1640686View attachment 1640688View attachment 1640689
Huyo anayejiita Baharia ana miaka 57 ujue.hahahahHahahahahaha,nyie vijana huyo ni mama yenu jamani
Chuma Hicho Na Sasa Hivi Kinatema Che CheNgoma kama hiyo mi bado nakwenda nayo kabisa.
Empire mbona ilishazidiwa na powerHivi jaman kuna series kali kuzidi empire?
Mmmh napenda wale kina kaka wanavyoimba hasa Hakeem anavyochana weweeeee ni hatareeeEmpire mbona ilishazidiwa na power
Na zote zimesha kuwa zilipendwa
Ninayo lakin hata sijaielewa labda nitajidi nirudie tenaJaribu hii
"For life "
Tuone Kama utaendelea na hayo mawazo
Kweli kabisa, haja expire hata kiduchu.Bado anafaa kabisa kwa matumizi.
Neel SaltMama kala chumvi ya kutosha!
Kama wewe tuMrembo hadi leo
🤣🤣🤣🤣Kama wewe tu
Mbona picha zote ananiangalia kama ananitamani vile....huyu haja expire bado, ngoja nimtafute facebook nikamtakie hali.Mwanamama Yvonne Chakachaka alijizolea umaarufu mkubwa Duniani kwa nyimbo mbalimbali ikiwemo Umkomboti na Sangoma
View attachment 1640678View attachment 1640679View attachment 1640680View attachment 1640682View attachment 1640686View attachment 1640688View attachment 1640689
Tafuta power... pia Game of thrones mbona ni kali sanaaHivi jaman kuna series kali kuzidi empire?