Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sura ya kihaya ndo ikoje hebu fafanuaAna sura ya kihaya kabisa
Wapi nimekupangia?Tunapangiana cha kuandika?
Bado tu anafaa kuliwa na chumvi.Mwanamama Yvonne Chakachaka alijizolea umaarufu mkubwa Duniani kwa nyimbo mbalimbali ikiwemo Umkomboti na Sangoma
View attachment 1640678View attachment 1640679View attachment 1640680View attachment 1640682View attachment 1640686View attachment 1640688View attachment 1640689
Bado anafaa kabisa kwa matumizi.
[emoji2959][emoji2959][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35] achaga madharau PUMBAVUUUU!!!!!Wanaume wa Dar wanavyopenda kulelewa. Wanatamani huyu mama angekuwa anaishi Dar
[emoji2959][emoji2959][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35] achaga madharau PUMBAVUUUU!!!!!
[emoji2960][emoji2960][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Naona fursa imekupita. Bado haujachelewa unaweza zamia South ukapata bahati ya kulelewa.
Nasikia mama anapunga balaa. [emoji381][emoji1019]
Wewe unafocus tu kunako 6 kwa 6 kwa nini asikupe hata mafao yote anayopokea youtube [emoji3]Tunajua mkuu, ila tunajadili tu, Huyu akikuweka mjini hata kutoka nae evening walk huoni soo, unavimba tu bila miwani ya giza 😎