Mwanamuziki maarufu na anayeheshimika Afrika Mwanamama Yvonne Chakachaka katika muonekano wa sasa

hizi ndio zilitakiwa ziwe nyuzi.
Sio Sky Eclat anatuletea mambo ya kina Madonna sijui masembe
 
I'm caught for breaking the law,mamaland,I'm burning up,Thank you Mr dj,alikuwa mrembo enzi hizo
 
Naona fursa imekupita. Bado haujachelewa unaweza zamia South ukapata bahati ya kulelewa.
Nasikia mama anapunga balaa. [emoji381][emoji1019]
[emoji2960][emoji2960][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…