Mwanamuziki Mashonda (Marekani) ndio Mwanaharakati wa kwanza kutoa Kitabu Cha Talaka baada ndoa.Na kuachika, leo Ni Mpweke.

Civilian Coin

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
2,305
Reaction score
4,380

Kitabu chake Mashonda tifrere Mwanamuziki wa kike Nchini Marekani, kimejikita zaidi katika changamoto za ndoa na jinsi ya kutuliza nafsi unapopewa Talaka ndani ya ndoa. Nimetambulisha video yenye sura yàke. Kitabu Ni Kama unavyoona kava. Nitakiwasilisha TANZANIA.
 
Sasa Dj DON NALIMISON, si ubebe chombo hicho ili ukaishi zako Marekani kwa Malia Obama!! Talaka kitu gani bhana!! Ukimtungia wimbo huyo, unamteka mazima.

Usisahau una miaka 40 na ushee sasa! Lakini you haven't a wife, you haven't children, you haven't a house, you haven't ccm card, you haven't.........!!!
 
Japo hata nisipompenda haimpunguzii kitu 😎 ila kumshabikia na kumfuatilia Alicia Keys kulipungua baada ya kumfanyia UMAYOMBI dada MASHONDA kwa Swizz Beatz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…