Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,380
Karibu shunuuIla ningekua nakaa kitaa kimoja na don ningeenjoy sana.
hamisa hapa kitaa kwetu tupo ma don tu, tunakula mademu wakali woteee unao wajua hapo town katiIla ningekua nakaa kitaa kimoja na don ningeenjoy sana.
Sasa Dj DON NALIMISON, si ubebe chombo hicho ili ukaishi zako Marekani kwa Malia Obama!! Talaka kitu gani bhana!! Ukimtungia wimbo huyo, unamteka mazima.
Kitabu chake Mashonda tifrere Mwanamuziki wa kike Nchini Marekani, kimejikita zaidi katika changamoto za ndoa na jinsi ya kutuliza nafsi unapopewa Talaka ndani ya ndoa. Nimetambulisha video yenye sura yàke. Kitabu Ni Kama unavyoona kava. Nitakiwasilisha TANZANIA.View attachment 1960400
Wana mtoto nayeMashonda ilikua chombo ya Swizz bit
Of course.Mashonda ilikua chombo ya Swizz bit
It pain.Japo hata nisipompenda haimpunguzii kitu 😎 ila kumshabikia na kumfuatilia Alicia Keys kulipungua baada ya kumfanyia UMAYOMBI dada MASHONDA kwa Swizz Beatz.