St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
Kabeya Badu, eighties babies wanaweza wasimjue.
Marquis du Zaire Original loong time enzi za Chinyama Chiyaza, Kikumbi Mwanza Mpango Nguza Viking, Vumbi (jamaa anapiga gitaa mpaka chini panatoka vumbi) nafikiri na Ramadhani "Remmy" Ongala pamoja na Makassy.
May all beings attain enlighenment.
Kifoo kifooo, kifo hakina huruma - Remmy Ongala
Weka nyama kwenye habari yako.
Mwanamziki wa nchi gani?
Anafanya mziki wa aina gani?
Ni wa kike au wa kiume?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Kaka umemsahau na Tshimanga Assosa katika kundi lao....
nauhakika unawajuwa Diamond, Ally Kiba, Ommy Dimpoz, Rich Mavoko.
Then je unawajuwa hawa Tshimanga Kalala Assosa, Issa Nundu, Mukumbule
Lulembo 'Parash', Mbuya Makonga 'Adios', Ilunga
Banza Mchafu, Dekula Kahanga 'Vumbi', Bobo
Sukari, Fredito Butamu, Mbwana Kocks, Kabea
Badu, Mutombo Lufungula Audax, Matei Joseph, Kaumba Kalemba, Mukuna Roy, Berry
Kankonde, William Maselenge, Seif Said, Nguza
Vicking, Kyanga Songa, Kasaloo Kyanga, Kiniki
Kieto?
Kama huwajui basi piga kimya.
Sio kila thread lazima uchangie au kila mtu lazima umjue.
Tshimanga naye, wapo wengine wengi najaribu kuwakumbuka, miaka imeenda sasa kaka si rahisi kuwakumbuka wote.
Asante kwa kunikumbusha Tshimanga.
Marquis walikuja kutumbuiza wanafunzi wa udaktari Muhimbili (Big up Dr. Sarungi) Tshimanga akazongwa na wadada lakini akawa anasema "siwezi kuwaharibia masomo yenu". Uwanja wa netiboli kule mwisho kabla ya kufika wodi ya wazazi, weell back in the days.
Watoto wengine watakaosoma hii walikuwa hawajazaliwa hapo.
I am not even going back to the late Great Marijani and his style, from Safari Trippers to Dar International.
You would think I was up there with Balozi Maharage and the older Upanga brothers.
.....na kwa maeneo ya akina Mh Tandau (RIP), Mh. Msuya, Mh Siyovelwa na akina Mzee Swebe (RIP)
nauhakika unawajuwa Diamond, Ally Kiba, Ommy Dimpoz, Rich Mavoko.
Then je unawajuwa hawa Tshimanga Kalala Assosa, Issa Nundu, Mukumbule
Lulembo 'Parash', Mbuya Makonga 'Adios', Ilunga
Banza Mchafu, Dekula Kahanga 'Vumbi', Bobo
Sukari, Fredito Butamu, Mbwana Kocks, Kabea
Badu, Mutombo Lufungula Audax, Matei Joseph, Kaumba Kalemba, Mukuna Roy, Berry
Kankonde, William Maselenge, Seif Said, Nguza
Vicking, Kyanga Songa, Kasaloo Kyanga, Kiniki
Kieto?
Kama huwajui basi piga kimya.
Sio kila thread lazima uchangie au kila mtu lazima umjue.
Mkuu unayaelewa maeneo hayo ya Kalenga juu kule, kuanzia kwa Mageni (R.I.P)
nauhakika unawajuwa Diamond, Ally Kiba, Ommy Dimpoz, Rich Mavoko.
Then je unawajuwa hawa Tshimanga Kalala Assosa, Issa Nundu, Mukumbule
Lulembo 'Parash', Mbuya Makonga 'Adios', Ilunga
Banza Mchafu, Dekula Kahanga 'Vumbi', Bobo
Sukari, Fredito Butamu, Mbwana Kocks, Kabea
Badu, Mutombo Lufungula Audax, Matei Joseph, Kaumba Kalemba, Mukuna Roy, Berry
Kankonde, William Maselenge, Seif Said, Nguza
Vicking, Kyanga Songa, Kasaloo Kyanga, Kiniki
Kieto?
Kama huwajui basi piga kimya.
Sio kila thread lazima uchangie au kila mtu lazima umjue.
nauhakika unawajuwa Diamond, Ally Kiba, Ommy Dimpoz, Rich Mavoko.
Then je unawajuwa hawa Tshimanga Kalala Assosa, Issa Nundu, Mukumbule
Lulembo 'Parash', Mbuya Makonga 'Adios', Ilunga
Banza Mchafu, Dekula Kahanga 'Vumbi', Bobo
Sukari, Fredito Butamu, Mbwana Kocks, Kabea
Badu, Mutombo Lufungula Audax, Matei Joseph, Kaumba Kalemba, Mukuna Roy, Berry
Kankonde, William Maselenge, Seif Said, Nguza
Vicking, Kyanga Songa, Kasaloo Kyanga, Kiniki
Kieto?
Kama huwajui basi piga kimya.
Sio kila thread lazima uchangie au kila mtu lazima umjue.
CUF's Mageni - Chuck's pops?