Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Nitakwenda na naani msondo ngooma, nitacheza na nani magoma kitakita.
Kalale mahali pema .
Athumani Momba,
Selemani Mbwembwe,
Maina,
TX Moshi William,
Muhidin Maalim Ngurumo na leo
Said Mabera.
Hii ni safu iliyokoga mioyo ya wapenzi wa muziki asilia wa kitanzania, Mungu amlaze pema SM