Mwanamuziki Msami akiri kuwa mpenzi wa Uwoya, azungumzia tofauti ya umri na mipango yao

Mwanamuziki Msami akiri kuwa mpenzi wa Uwoya, azungumzia tofauti ya umri na mipango yao

Sasa hiv ni mwendo wa friend with benefit tu diamond kamtumia wema kibiashara sasa ni zamu ya uwoya kutumika
 
Hahahaa tena kasema kama mtoto angekuwa anasoma primary au bado angekuwa anaenda clinic, kama kote huko kapita basi mtu mzima huyooo....

Akasema mtu akidate mtu mzima utasikia oooh mzee, babu, Mtu mzima kwani anavunja nazi kwa ugoko? anapiga danadana kwa kisu, au anaoga katikati ya ikuluuu???? Hahahaaa mzee kwani namshikia mkongojo....

Kasema waacheni watu wapendane....
Hapo wapenda kuingilia makhabati ya watu lazima kiwashuke! Kwanza mtu keshamaliza robo debe la nyembe kunyolea mavu.zi halafu unamuita mtoto... aaaaaaargh, kweli tunawaonea bhana!
 
Hapo wapenda kuingilia makhabati ya watu lazima kiwashuke! Kwanza mtu keshamaliza robo debe la nyembe kunyolea mavu.zi halafu unamuita mtoto... aaaaaaargh, kweli tunawaonea bhana!

Kweli tena...kama hakojoi nje...aah mtu mzima huyooo....
 
Sasa hiv ni mwendo wa friend with benefit tu diamond kamtumia wema kibiashara sasa ni zamu ya uwoya kutumika

Leo umeongea kitu cha maana...Msami katumia fursa
 
Ukitaka ku-anticipate umri wa wasanii wetu basi waambie wanamegwa na vibabu! Bi Shost atakuambia... hamna bwana, maneno ya watu tu hayo; wala hatujapishana sana... yule ana miaka 38 mimi n'na miaka 32... yaani keshasahau kwamba alikuwa anadai she's 26!

Kwahiyo mkuu sisi wenye umri huo tayari mnatuita vibabu? Na Le Mutuz mnamuitaje?
 
hahahaha et ule utoto tu jamani na bad influence ndo umesababisha ndoa yake ivunjike

utoto ameolewa na miaka mingapi?!!
wale wanaoolewa under 18
mi sikuamini km ameolewa mpaka nimeona gazetini na mwenyewe kashawahi kiri kua hakuawahi mpenda mumewe ila mama ake alimlazimisha kuolewa and one wek before ndoa alitaka kuondoka ila mama ake akamwambia usiondoke mi ntapata aibu
 
Kweli kuwa ndoani ni kipaji au mumewe kafilisika?
 
Kweli kuwa ndoani ni kipaji au mumewe kafilisika?

kafilisika cyprus mkataba ulivyoisha km sikosei wakamtema maana kiwango kilishuka kutwa bongo kumfata irene mazoezi hana
alikua anafuga kunguru kutahamaki timu haimhitaji wakaja bongo wametesa sijui wiki viatu vikaanza kubana irene akaanza vituko kupigwa nje
heee migongano daily bwana akajivua gamba na mtoto inasemekana wa yule bondo daslam maana wanafanana hatariiii
 
Back
Top Bottom