Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
Nimepokea kwa Mshituko mkubwa Kifo cha Mzee Mabrook maarufu.Babu Njenje kilichotokea usiku wa kuamkia leo
======
Mkongwe wa Muziki wa Mduara MZEE NJENJE, aliyekua mmoja wa wanaounda Kundi la Kilimanjaro Band 'Wana Njenje' amefariki dunia alfajili ya leo.
RIP Babu Njenje.
======
Mkongwe wa Muziki wa Mduara MZEE NJENJE, aliyekua mmoja wa wanaounda Kundi la Kilimanjaro Band 'Wana Njenje' amefariki dunia alfajili ya leo.