U mean "cleaning out my closet "?Alishawahi kumtukana mama yake kwanini alimzaa mzungu
Halafu akaja kuomba msamaha sikiliza ngoma yake ya I'm sorry mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
U mean "cleaning out my closet "?Alishawahi kumtukana mama yake kwanini alimzaa mzungu
Halafu akaja kuomba msamaha sikiliza ngoma yake ya I'm sorry mama
Bangi mbaya sana,Huyu jina lake halisi anaitwa Marshall Mathers ( kama kuna spelling nimekosea niko tayari kurekebishwa)
Sasa hilo jina la marshall mathers alikua analifupisha kwa kujiita M&M (m and m) watu wakawa wanalitamka eminem
Sasa huyu rapper alikua hapendi race yake alitamani kuwa black ndio mana akaja kumdiss mama yake kwanini alimzaa akiwa mzungu
Yaani umenichekesha sana 😆😆😆😆😆Hawa wajinga huwa wanatuchora tu.
Eti Eminem anasema yeye hua anaamini ni Mu-africa, hivi anajua mziki tunaoupata huku kwa jiwe?.
Haijui Africa huyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cleanin out my closetAlishawahi kumtukana mama yake kwanini alimzaa mzungu
Halafu akaja kuomba msamaha sikiliza ngoma yake ya I'm sorry mama
Aisee mkuu jambo usilolijua ni kwamba Eudoxie Mbouguiengue ambae ni mke wa ndoa wa Luda ni mtu wa Gabon hapo hakijaaribika kitu apo Luda anawalinda tu watoto na familia yake ila LUDACRISS HAWEZ KUKAA GABON NAKWAMBIA, culture hazifanani, to add insult to injury watu wa ATL na ST LOUIS, wana utamadumi tofauti sana aisee huwa hata nashangaa LUDA yupo tofauti nao kidogo, hata accent yao ni ya tofauti sana ila Luda haongei kama wao, mfano wa watu wa huko ni type za kina rich the kid, aisee wanaongea accent ya ajabu sana yan hata mmarekani anaweza asielewe..
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mmarekan asielewe accent ya wati wa atl?? Hapo sijaelewa bro..yaani kama mtz asielwe kiwahili cha watu wa moshi etc [emoji854][emoji854]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmarekan asielewe accent ya wati wa atl?? Hapo sijaelewa bro..yaani kama mtz asielwe kiwahili cha watu wa moshi etc [emoji854][emoji854]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila back to Africa Movement ni project ya miaka mingi sananilikuwa naenda kuandika tetesi kuhusu dunia itakavyobadilika mwaka huu, nimeona hii post nimefurahi.
so far so good coment bora ya mwezi januaryHawa wajinga huwa wanatuchora tu.
Eti Eminem anasema yeye hua anaamini ni Mu-africa, hivi anajua mziki tunaoupata huku kwa jiwe?.
Haijui Africa huyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wajinga huwa wanatuchora tu.
Eti Eminem anasema yeye hua anaamini ni Mu-africa, hivi anajua mziki tunaoupata huku kwa jiwe?.
Haijui Africa huyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi sielewi kiswahili cha watu wa ArushaMmarekan asielewe accent ya wati wa atl?? Hapo sijaelewa bro..yaani kama mtz asielwe kiwahili cha watu wa moshi etc [emoji854][emoji854]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi St Louis lilikuwa koloni la mfaransa?Aisee mkuu jambo usilolijua ni kwamba Eudoxie Mbouguiengue ambae ni mke wa ndoa wa Luda ni mtu wa Gabon hapo hakijaaribika kitu apo Luda anawalinda tu watoto na familia yake ila LUDACRISS HAWEZ KUKAA GABON NAKWAMBIA, culture hazifanani, to add insult to injury watu wa ATL na ST LOUIS, wana utamadumi tofauti sana aisee huwa hata nashangaa LUDA yupo tofauti nao kidogo, hata accent yao ni ya tofauti sana ila Luda haongei kama wao, mfano wa watu wa huko ni type za kina rich the kid, aisee wanaongea accent ya ajabu sana yan hata mmarekani anaweza asielewe..
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahah kama harvey amesema hivyo big up sana kwake,unafiki kwake hakuna.Hao wanafiki tu stive harvey ndio mkweli yeye katuchana live kuwa hawezi kuja kuishi africa kuna mapori ya ajabu hata hamuwezi kupishana sio tu na gari hata kwa kutembea mkikutana kuna sauti zisioleweka za manyani msituni kuna nyumba zisizo na umeme hakuna internet etc sa maisha gani hayo.unatembea unakanyaga nyoka na umande kulowanisha nguo ?? Big up stive harvey wewe ni real niga sio.hao wanaotuchora
.
Hahah anakaribishwa ajione hali halisi huku.Yaani umenichekesha sana [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hata mimi sielewi kiswahili cha watu wa Arusha
Nimeshangaa aende arusha ungalimi akaoe watu kiswaili wanaongea ila huelewi wanamaanisha nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my iPhone using JamiiForums
aje atafsiri sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my iPhone using JamiiForums