kwa bongo ukimiliki gari tayari una mafanikio wenzetu mbele ni kitu cha kawaida sanaNaona sasa tusio na Gari kabisa na wenye Gari za Bei ya Mtaji wa Mkaa wa Kibada Shilingi Milioni Tatu tumekasirika mno na hii Taarifa ya Nandy aliyetuzidi Utajiri na Mafanikio.
Kudadadeki Shikamoo Nandy wa Watu.
Naona sasa tusio na Gari kabisa na wenye Gari za Bei ya Mtaji wa Mkaa wa Kibada Shilingi Milioni Tatu tumekasirika mno na hii Taarifa ya Nandy aliyetuzidi Utajiri na Mafanikio.Acha mbwembwe za kishamba weka picha ya gari
Uone kama hujaaibika Sasa hivi!
Mziki ni mgumu una mambo mengi kuwa kwenye 'peak'Labda hiyo!
Naona sasa tusio na Gari kabisa na wenye Gari za Bei ya Mtaji wa Mkaa wa Kibada Shilingi Milioni Tatu tumekasirika mno na hii Taarifa ya Nandy aliyetuzidi Utajiri na Mafanikio.kwa bongo ukimiliki gari tayari una mafanikio wenzetu mbele ni kitu cha kawaida sana
Na wewe ulivyo popoma unaamini hao wabongo fleva hua wakiumwa wanatuomba michango ya kupelekwa India si watumie hizo pesa zao mbona hua wanaomba michangoWengine mna tuvigari twenu twa Shilingi Milioni Tatu hadi Saba huku Mikopo ya Kulipia mkiwa bado hamjamaliza mkiwa mitaani Mnaringa na kujiona ni Matajiri na Maisha mmeshayapigia Denge Kimafanikio wakati kumbe bado ni Njaa Kali ( Kapuku ) kama GENTAMYCINE.
Halafu kwa Uchoyo wa Lifti mnaongoza na Gari zenu huwa hamzifanyii kabisa Usafi hadi Mende, Panya na Mijusi ya Balangulu huwa Wanazaliana.
Nandy akiringa ni sawa tu kwani Kweli anazo ( ni Tajiri ) kama alivyosema Mwenyewe kuwa anamiliki Gari ya Bei mbaya ( ya Gharama ) ambayo Pesa aliyoinunulia kama angesema aitumie kwa Matumizi yake ya Nyumbani ( ya Chakula ) basi angetumia Shilingi Laki Moja kwa kila Siku kwa muda wa Miaka 60 ijayo.
Kudadadeki............. Shikamoo Nandy!!
Asingelisema hivyo, asingejadiliwa; kwa hiyo alisema hivyo ili kuvuta umakini wa watu, na hiyo ni biasharaNaona sasa tusio na Gari kabisa na wenye Gari za Bei ya Mtaji wa Mkaa wa Kibada Shilingi Milioni Tatu tumekasirika mno na hii Taarifa ya Nandy aliyetuzidi Utajiri na Mafanikio.
Kudadadeki Shikamoo Nandy wa Watu.
Naona sasa tusio na Gari kabisa na wenye Gari za Bei ya Mtaji wa Mkaa wa Kibada Shilingi Milioni Tatu tumekasirika mno na hii Taarifa ya Nandy aliyetuzidi Utajiri na Mafanikio.Na wewe ulivyo popoma unaamini hao wabongo fleva hua wakiumwa wanatuomba michango ya kupelekwa India si watumie hizo pesa zao mbona hua wanaomba michango
🤒mwingine ni ushamba tu mwenye ist na gari ya bilioni wote si wana magari?😄😄 tusitishane
Naona sasa tusio na Gari kabisa na wenye Gari za Bei ya Mtaji wa Mkaa wa Kibada Shilingi Milioni Tatu tumekasirika mno na hii Taarifa ya Nandy aliyetuzidi Utajiri na Mafanikio.Siku zote naandika humu kuwa huyu jamaa huwa ni mshamba sana..sasa unakuja kutuandikia wanaume uongo wa nandy..huyo muuzaji wa kidigitali ana miliki gari ya 2.16B? Kabla hujaandika hebu reason kwanza bas acha upopoma
Kinachofanya huku kwetu gari iwe na thamani, ni kodi ya uagizaji; wenzetu kule homeless wanamiliki kwa sababu bei ziko chini.kwa bongo ukimiliki gari tayari una mafanikio wenzetu mbele ni kitu cha kawaida sana
Nami nauliza. Ni aina gani ya gari kwa bei hiyo? Zaidi ya dola laki nane? Chai ya asubuhi hiiInawezekana ametumia njia hiyo kibiashara; msanii bila kiki kuvuma ni tatizo
Mwaka una siku 365
365 x 60 x 100,000
Tsh. 2,190,000,000
Aina ya gari tafadhali?
Chawa kaziniNaona sasa tusio na Gari kabisa na wenye Gari za Bei ya Mtaji wa Mkaa wa Kibada Shilingi Milioni Tatu tumekasirika mno na hii Taarifa ya Nandy aliyetuzidi Utajiri na Mafanikio.
Kudadadeki Shikamoo Nandy wa Watu.
Vp umekuwa chawa wa nandy nn?Naona sasa tusio na Gari kabisa na wenye Gari za Bei ya Mtaji wa Mkaa wa Kibada Shilingi Milioni Tatu tumekasirika mno na hii Taarifa ya Nandy aliyetuzidi Utajiri na Mafanikio.
Kudadadeki Shikamoo Nandy wa Watu.
Itakuwa aliongea ili kuvuta umakini wa watu katika kazi zakeNami nauliza. Ni aina gani ya gari kwa bei hiyo? Zaidi ya dola laki nane? Chai ya asubuhi hii
PichaWengine mna tuvigari twenu twa Shilingi Milioni Tatu hadi Saba huku Mikopo ya Kulipia mkiwa bado hamjamaliza mkiwa mitaani Mnaringa na kujiona ni Matajiri na Maisha mmeshayapigia Denge Kimafanikio wakati kumbe bado ni Njaa Kali ( Kapuku ) kama GENTAMYCINE.
Halafu kwa Uchoyo wa Lifti mnaongoza na Gari zenu huwa hamzifanyii kabisa Usafi hadi Mende, Panya na Mijusi ya Balangulu huwa Wanazaliana.
Nandy akiringa ni sawa tu kwani Kweli anazo ( ni Tajiri ) kama alivyosema Mwenyewe kuwa anamiliki Gari ya Bei mbaya ( ya Gharama ) ambayo Pesa aliyoinunulia kama angesema aitumie kwa Matumizi yake ya Nyumbani ( ya Chakula ) basi angetumia Shilingi Laki Moja kwa kila Siku kwa muda wa Miaka 60 ijayo.
Kudadadeki............. Shikamoo Nandy!!