Mwanamuziki Nguli Oliver Mtukudzi afariki dunia

Wanamziki wenzake wote walikufa kwa UKIMWI! Na yeye alikataa kwamba haugui ukimwi!!
RIP oliver
 
Tanesco bana haichagui una mihela au kabwela maadamu mhogo wako unafanya kazi iliyopangiwa kuruka Tanesco ni mtihani sana,kwani ni kama mtego wa panya huingia na wasiokuwemo.Ila nae kala maisha wacha apumzike.Wenzake wote aliokuwa pamoja mwanzoni wote walisombwa na Tanesco ,akawa kabaki yeye tu
 
RIP....Tuku..
huyu mzee si ndo aliimba kwenye movie ya NERIA??
 
Kwenye kumbi za sherehe kama harusi unapigwa na kuchezwa sana bila watu kujua maana yake.

Pia mwaka jana tarehe hii hii aliyokufa Oliver Mtukudzi alifariki mwanamuziki mwingine wa jazz wa Afrika Kusini Hugh Masekela. Huyu Hugh aliwahi kumwoa Miriam Makeba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…