Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je unajua kuwa Aurlus Mabele naye Corona ilimuua???Yaani nimestuka ndio nasikia Leo ! Bongo tens mamba mengi mda in Mdogo kweli sikujuwa kabisa
ExtensionMwanamuziki wa Jazz na mpiga Saxophone kutoka Cameroon, Emmanuel N'Djoke Dibango (86) maarufu ‘Manu Dibango’, amefariki leo asubuhi akiwa jijini Paris baada ya kupata maambuzi Covid 19
Atakumbukwa kwa wimbo wake wa Soul Makossa.
ZAIDI SOMA
Emmanuel N'Djoke Dibango, known as Manu Dibango, saxophonist and Franco-Cameroonian singer of world jazz, gestures to the crowds during his concert on June 29, 2018 at the Ivory Hotel Abidjan.
Cameroon-born jazz singer and saxophone player Manu Dibango has died from a coronavirus infection, according to a statement on his official Facebook page on Tuesday.
“It is with deep sadness that we announce the loss of Manu Dibango, our Papy Groove, who passed away on 24th of March 2020, at 86 years old, further to covid 19,” it said.
Source: Citizen TV
Huyu nilisikia kafa nikasiktika tu ila kama ni kafa kwa korona sikujuwa na hii imechangiwa na Mimi kukosa imani na vyombo vya habari vya bongo hata kama nikisikiliza nadhani ni utakatishaji Wa matatizo yetu awamu hii vyombo vya habari vya bongo vimefanya nisivisikilize labda nikifungua radio nisikie radio inasema MR MABAKULI shikamoo nitasikilizaJe unajua kuwa Aurlus Mabele naye Corona ilimuua???
Huyu jamaa ni nguli kweli hebu sikiliza wimbo wake Wa mwaka 1972 unaitwa new bell anachosema kwenye wimbo huo naona kama yanatokea siku hizi 2020Namkumbuka kipindi kile cha Nani zaidi,Radio one. Waliwahi kupambanishwa na yule mwenzie...