Bella Ciao
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 1,804
- 4,461
Ameweka kwenye Insta story.. Pia Dogo janja amethibitisha kwenye instagram yakeTusaidie kuliweKa hilo kanusho tulisome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameweka kwenye Insta story.. Pia Dogo janja amethibitisha kwenye instagram yakeTusaidie kuliweKa hilo kanusho tulisome
Inatakiwa kwanza kama wahusika wote wamepatikana wapimwe, na kama wana maambukizi anatakiwa ndani ya masaa 72 aanze dawa (PEP) hii itamsaidia sana kutopata maambukizi.Tukumbuke ukimwi upo na unaua
Hapo wanachotaka ni kuzaa naye ili baadae awe anatoa hela ya matunzo kwa mtotoNa itakuwa alipigwa na mundende ili turubai iwe wima muda wote
HahaaMatukio mengine hadi unaona wivu
Mbona mimi kina dada hamni baki
Njooni mnibake jamani nipo hapaaaa
Mje hata sita fresh tuuuuuuu
Sipati picha raha aliyopata prezoooo daaaah
Hahahahaaa mkuu umewaza mbali sana.Ni bonge la zali endapo liwe kama tunavyowaza, usikute chumba walichomkuta akibakwa wamekuta na dildo
Badae hao wakikuyu wanakuja dai child support. Mwaka tu hapoAlileweshwa na cocaine akapewa na viagra,so mbo.o ilikua stiff kama kawa,wakawa wanajipimia hao wadada mkuu.
Baadae mahakana itatambua hilo?Hapo watakuwa wamejizalisha wenyewe na si amewazalisha
Kwani wewe Mungu?Duh!, why me?. Mimi na haya makitu wapi na wapi?.
P
Mimi sio Mungu, ila nina Mungu ndani yangu.Kwani wewe Mungu?
Ili mwanaume uweze kushiriki tendo la kikubwa, ni lazima akili iwasiliane na mtambo ili mtambo uweze kufanya kazi.
Sasa katika hali na mazingira kama hayo ya jamaa, mtambo uliweza vipi kutoa ushirikiano?
Sielewi! La, labda walimfanya kinyume na maumbile.