Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Siyo dogo huyo ni mzee aliyedumaa kama zuchu sura nzitoo.Ni haibu kumchagua huyu dogo au Haji Manara kuwa wasemaje wa chochote wa serikali au chama kwa sababu hawajitambui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo dogo huyo ni mzee aliyedumaa kama zuchu sura nzitoo.Ni haibu kumchagua huyu dogo au Haji Manara kuwa wasemaje wa chochote wa serikali au chama kwa sababu hawajitambui.
Steve unapambana sana jamani, hivi kwanini hawakupi hata ka UKUU wa kitengo!!Mwanamuziki mkongwe kutoka DRC Kongo, Bozi Boziana amtungia wimbo Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuelekea mkutano mkuu wa chama Cha Mapinduzi CCM utafanyika kati ya Januari 18-19, 2025 jijini Dodoma.
Hilo limeelezwa kwa kina na Mwenyekiti wa taasisi ya Mama Ongea Na Mwanao baada ya Mkongwe huyo kutembelea ofisi za taasisi hiyo zilizopo jijini Dar es Salaam leo Januari 08 2024.
Katika mkutano huo utakaoongozwa na mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan
View attachment 3195977
Sio nongwa weeh vipi atamuita vipi Rais wa kike kashndwa kusema hata mwanamama shupavu?Imekuwa NONGWA.....,
Watanzania bana, Rais Samia yupo juu sana sana katika kila sekta!
Heheheheheeeee, haters mnaumia si mchezo!!!Maza anatia huruma Sana
Haters hawataki kumsikia hilo, wanataka ashindwe km waoImekuwa NONGWA.....,
Watanzania bana, Rais Samia yupo juu sana sana katika kila sekta!
Huyu dogo si mze kivile sema tu njaa na uchawi vinamsumbuaSiyo dogo huyo ni mzee aliyedumaa kama zuchu sura nzitoo.
Mwaka huu hakuna rangi tutaacha kuonaMwanamuziki mkongwe kutoka DRC Kongo, Bozi Boziana amtungia wimbo Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuelekea mkutano mkuu wa chama Cha Mapinduzi CCM utafanyika kati ya Januari 18-19, 2025 jijini Dodoma.
Hilo limeelezwa kwa kina na Mwenyekiti wa taasisi ya Mama Ongea Na Mwanao baada ya Mkongwe huyo kutembelea ofisi za taasisi hiyo zilizopo jijini Dar es Salaam leo Januari 08 2024.
Katika mkutano huo utakaoongozwa na mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan
View attachment 3195977
Salama ya Tanganyika ni ccm kuondoka madarakaniMwanamuziki mkongwe kutoka DRC Kongo, Bozi Boziana amtungia wimbo Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuelekea mkutano mkuu wa chama Cha Mapinduzi CCM utafanyika kati ya Januari 18-19, 2025 jijini Dodoma.
Hilo limeelezwa kwa kina na Mwenyekiti wa taasisi ya Mama Ongea Na Mwanao baada ya Mkongwe huyo kutembelea ofisi za taasisi hiyo zilizopo jijini Dar es Salaam leo Januari 08 2024.
Katika mkutano huo utakaoongozwa na mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan
View attachment 3195977
Bozi akamatwe tu, Rais Samia si mtu wa kumtungia wimbo wowote ule zaidi ya kumsifia kwa ugaidi.Mwanamuziki mkongwe kutoka DRC Kongo, Bozi Boziana amtungia wimbo Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuelekea mkutano mkuu wa chama Cha Mapinduzi CCM utafanyika kati ya Januari 18-19, 2025 jijini Dodoma.
Hilo limeelezwa kwa kina na Mwenyekiti wa taasisi ya Mama Ongea Na Mwanao baada ya Mkongwe huyo kutembelea ofisi za taasisi hiyo zilizopo jijini Dar es Salaam leo Januari 08 2024.
Katika mkutano huo utakaoongozwa na mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan
View attachment 3195977
Haya ndo yanaharibu nchi yetu. Hilo halikuwa na hata haja ya kulitangaza. Mama yetu Rais anahitaji kuheshimiwa na kutangazwa kwa mambo ya msingi.Ujinga mtupu.
Mama yako na nani kenge wewe,huyo ni mama wa abdul fisi wewe kwahiyo mama ya aliekuzaa umemsusia nani paka weHaya ndo yanaharibu nchi yetu. Hilo halikuwa na hata haja ya kulitangaza. Mama yetu Rais anahitaji kuheshimiwa na kutangazwa kwa mambo ya msingi.
Nyimbo ya nini kwa huyu muuaji? Mnajipendekeza tu wajinga ninyi. Hulka za madikteta zinaeleweka.....wanapenda kusifiwa. Huyo Samia asifiwe kwa kufanya nini? Kuteka na kuua watu wasio na hatia huku Tanganyika????????Mwanamuziki mkongwe kutoka DRC Kongo, Bozi Boziana amtungia wimbo Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuelekea mkutano mkuu wa chama Cha Mapinduzi CCM utafanyika kati ya Januari 18-19, 2025 jijini Dodoma.
Hilo limeelezwa kwa kina na Mwenyekiti wa taasisi ya Mama Ongea Na Mwanao baada ya Mkongwe huyo kutembelea ofisi za taasisi hiyo zilizopo jijini Dar es Salaam leo Januari 08 2024.
Katika mkutano huo utakaoongozwa na mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan
View attachment 3195977
Wenye jina lao la ukoo wamesema hawana mtu mjinga kama huyo kwenye ukoo wao. Wanataka atumie jina lake la ukweli. He is not making sense.Mwanamuziki mkongwe kutoka DRC Kongo, Bozi Boziana amtungia wimbo Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuelekea mkutano mkuu wa chama Cha Mapinduzi CCM utafanyika kati ya Januari 18-19, 2025 jijini Dodoma.
Hilo limeelezwa kwa kina na Mwenyekiti wa taasisi ya Mama Ongea Na Mwanao baada ya Mkongwe huyo kutembelea ofisi za taasisi hiyo zilizopo jijini Dar es Salaam leo Januari 08 2024.
Katika mkutano huo utakaoongozwa na mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan
View attachment 3195977
Bozi boziana yeye analipwa na CCM hata Samia mwenyewe hamjuiKuanzia Gurumo wa Nuta jazz mpaka Masanja wa Twanga wameimba sana kusifia Chama na serikali na kama Mzee Btchuka wameshindwa hata kuwapeleka nje kwa matibabu wengi wamekufa maskini huku waliokuwa wanawasifu wakijenga makasri Dubai na South Africa.
Nguvu inayotumika kumsifia huyu maza ilipaswa itumike kuleta maendeleoSalama ya Tanganyika ni ccm kuondoka madarakani