Mwanamuziki wa zamani wa K-POP atupwa jela miaka 13 nchini China kwa Ubakaji

Mwanamuziki wa zamani wa K-POP atupwa jela miaka 13 nchini China kwa Ubakaji

Farolito

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
12,001
Reaction score
27,175
November 25,2022.
Mahakama moja nchini China imemhukumu mwanamuziki wa zamani wa kundi la K-pop Kris Wu kwenda jela miaka 13 kwa kosa la ubakaji

Mahakama hio ya Beijing ilisema amehukumiwa miaka 11 na miezi 6 kwa kosa la ubakaji alilofanya 2020 na pia imenhukumu mwaka 1 kwa kushiriki katika kuwabaka wanawake wawili akiwa amelewa yeye na wenzake mwaka 2018.

Mwanamuziki huyo ambaye pia ni mwigizaji na mwanamitindo ni mchina mwenye uraia wa Canada atarudishwa nchini kwao atakapomaliza kifungo chake.

images%20(1).jpg
images.jpg
 
New world order is running the world wale jamaa wamejipanga wapo kila sehemu kwenye siasa mahakamani everywhere na hizi kesi kama hizi ndio silaha yao ya mwisho yule jamaa wa squad game wamempa kesi kama hiyo r kelly na mendy hapo hatoki mtu they are none other than the so called secret society.
 
New world order is running the world wale jamaa wamejipanga wapo kila sehemu kwenye siasa mahakamani everywhere na hizi kesi kama hizi ndio silaha yao ya mwisho yule jamaa wa squad game wamempa kesi kama hiyo r kelly na mendy hapo hatoki mtu they are none other than the so called secret society.
Jamaa gani mnaowazumngumzia?hawa watu makosa wanafanya kweli,usitake kusingizia NWO,yaani kisa ni watu maarufu ndio waachwe tu waharibu jamii
 
Mwanaume mrembo huyo. Anapelekwa jela ya kiumeni au ya kike?
 
Back
Top Bottom