Mwanamuziki aliyewai kuimba chuchu sound na tot plus waziri sonyo ameaga dunia Leo SAA moja usiku maeneo ya kibaha
Chanzo cha kifo hakijawekwa wazi
Taarifa nimezipata katika kipindi cha afro tizi cha rajabu zomboko radio one, usiku huu
sikosagi mkuu nyimbo za zomboko nilivyo kuwa mdogo wazazi na mabro walikuwa wakizisikiliza nilikuwa sizipendi,Duuh kumbe unasikiliza kipindi, ndo Zomboko anaaga hapa na wana Tukunyema kibao cha Sophia. Nami nimesikia hapa
Huwa ninahisi na najiuliza hivi misiba ndio inayokupa hela? Au biashara unayofanya inahusika na misiba? Mfano, biashara ya majeneza, misalaba ya makaburi, granite za makaburini, maua ya msibani, mabasi ya msibani, magari ya kubeba majeneza,n.k. Maana yaani vifo kwako wewe fresh tu maana unaingiza hela ndefu. Ila daah basi tu!Basi mijitu itaanza, ooh, tuchukue tahadhari, ni mwaka upi watu hawakufa?
Aiseeee !!Poleni ndugu,jamaa na marafiki.
Taratibu ni zile zile hazijabadilika ,tufuate miongozo iliyotolewa na wataalamu.
Huyu jamaa alikuwaga jambazi aliiba pikipiki.Poleni ndugu,jamaa na marafiki.
Taratibu ni zile zile hazijabadilika ,tufuate miongozo iliyotolewa na wataalamu.
Huyu jamaa alikuwaga jambazi aliiba pikipiki.
Kina Joti walimuigiza kwenye kile kipindi chao amefulia. Wakuvanga alimuigiza kama yeye ameva 'kauwoshii' huku akikimbia na 'kuruka ukuta' joti akimdhihaki vibaya sana.
Huyu Rajab Zomboko ana uhusiano wowote na miss zomboko wa JF?View attachment 1710373
Mwanamuziki aliyewahi kuimba kwenye bendi ya Chuchu sound na TOT Plus, Waziri Sonyo ameaga dunia jana tarehe 23 Februari saa moja usiku maeneo ya Kibaha.
Chanzo cha kifo hakijawekwa wazi ingawa kuna taarifa kuwa alikwenda kutazama mechi ya mpira wa miguu na aliporudi alijipumzisha hadi mauti yalipomkuta
View attachment 1710374
Taarifa nimezipata katika kipindi cha afro tizi cha Rajabu Zomboko radio one, usiku huu
Wote Ni wazaramo ma born town wa hapa jijijiHuyu Rajab Zomboko ana uhusiano wowote na miss zomboko?