TANZIA Mwanamuziki Waziri Sonyo afariki dunia

sikosagi mkuu nyimbo za zomboko nilivyo kuwa mdogo wazazi na mabro walikuwa wakizisikiliza nilikuwa sizipendi,
Nashangaa nimeanza kuzipenda kipindi hiki kinoma,,,,sijui nimekuwa mzee?
Hali kadhalika mie huwa najitahidi japokuwa usingizi huwa unanikama ila Ijumaa ndo sikosi saa 4 mpaka saa 7 mchana. (Nakuwa na earphone zangu).

Nimeanza kumfuatilia Zomboko tangu Radio Free Africa kipindi cha Wambura Mtani kila Alhamis usiku alafu Zomboko alikuwa anapiga simu kama shabiki wa muziki wa zamani na kufanya uchambuzi.
 
sikosagi mkuu nyimbo za zomboko nilivyo kuwa mdogo wazazi na mabro walikuwa wakizisikiliza nilikuwa sizipendi,
Nashangaa nimeanza kuzipenda kipindi hiki kinoma,,,,sijui nimekuwa mzee?
umeanza zeeka mkuu
 
"Why why, why mimi yooo ooh, ni kweli tenda wema uende, mshahara wa dhambi ni mauti yoo, haki yangu nimedhurumiwa mimi jama, na matusi nimetukanwa maskini, namuachia mola, mola muumba wa dunia hii.......... "

Apumzike anakostahili.. Duniani alinikosha na tungo zake safi kabisa na ile sauti yake,ofcz alikuwa na kipaji kikubwa jamaa ila naamini kwa muziki wa kitanzania haukumpa ¼ alichpaswa kupata.
 
Huo mpira uliishaje? Labda timu yake haikufanya vizuri.
Nakumbuka huyu dogo alipokua na Komba na Banza stone walivyokua wanajitutumua kujilinganisha na African stars miaka Ile ya 2002 2006 lkn African stars walikua wamewaacha TOT kwa mbaali sana.
Mkuu ile TOT ya banza stone na albamj yake ya elimu ya mjinga ni majungu ilikuwa ni kiboko, african stars walikuwa wanatafuta pa kuhemea, baada ya banza kusepa ndio twanga wakaanza kutamba tena..
African stars walitoa ngoma nzuri ila sio kali kama za tot ya banza, yule jamaa alikuwa ni mwalimj wa walimu.. Noma sana kile kiumbe.
 
Huo mpira uliishaje? Labda timu yake haikufanya vizuri.
Nakumbuka huyu dogo alipokua na Komba na Banza stone walivyokua wanajitutumua kujilinganisha na African stars miaka Ile ya 2002 2006 lkn African stars walikua wamewaacha TOT kwa mbaali sana.
Dah ila jamaa alikua na sauti aisee

Mpaka leo hii kuna wimbo unaitwa Ndoto tata wa dogo mmoja anajiita Jiti(100) jamaa alisimama Chorus

Unabaki kuwa wimbo bora kabisa wa enzi za ujana wangu.

Pumzika kwa amani Waziri Sonyo
 
Huo mpira uliishaje? Labda timu yake haikufanya vizuri.
Nakumbuka huyu dogo alipokua na Komba na Banza stone walivyokua wanajitutumua kujilinganisha na African stars miaka Ile ya 2002 2006 lkn African stars walikua wamewaacha TOT kwa mbaali sana.

Unaifahamu TOT Plus iliyokuwa na Sonyo, Banza, Misambano na Toto Tundu!! Kama siyo kusambaratishwa mapema walipotoa album moja tu, hakuna band ingetia mguu pale!!

Twanga walikuja kuwa vyema baada ya kuanza kusambaratisha band zingine na kununua wasanii!! Akamchukua Mwinjuma, Banza, Ado Mbinga ndipo band ikasimama vyema ambapo band pinzani zikajifia!!
 
kuna clip nimeona akikata uno baada ya MNYAMA kufanya yake jana.....au sio ya jana? RIP....duh shabiki mwingine wa MNYAMA ameondoka....
 
Yaani waziri sonyo alishindwa kumiliki hata tv na kisimbuzi cha azam enzi za uhai wake?
 
Chuchu sound nyimbo zao siwezi choka waliondoka na vipaji vyao.kama DDC mlimani park

Chuchu sound
Mao santiago
Omary mkali
Waziri sonyo
Na wengine

Da kweli maisha ni safari
 
Hivi Abdul Misambano yupo wapi ?TOT ya enzi hizo ilikuwa yamoto. Mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…