kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
Ukute hili jama ni team mama dangataDah bongo kuna watu watu wapumbavu sana naww unaoongoza eti moyo unavuja damu mbuzi kabisa wewe
Kuna siku domo atatoa kiki kama anagongwaHiyo familia ina kiki za kujidhalilisha sana.
Wamesema wataongea na waandishi wa habari kutoa tamko ili tujue wanazungumzia huo utopolo wao kumbe wametuona sisi ndio fursa.
Kiki katengeneza yeye au nyinyi mnaozungumzia?Kuna siku domo atatoa kiki kama anagongwa
Dah bongo kuna watu watu wapumbavu sana naww unaoongoza eti moyo unavuja damu mbuzi kabisa wewe
Kajamaa ndo kanamnyakua vizuri mama kanasa .