Mwananchi Arusha adai ametukanwa na kuchapwa makofi na Mkuu wa Wilaya ya Moshi, DC asema "aende Mahakamani"

Mwananchi Arusha adai ametukanwa na kuchapwa makofi na Mkuu wa Wilaya ya Moshi, DC asema "aende Mahakamani"

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607

WhatsApp Image 2024-11-05 at 07.26.02_58f4e4f2.jpg
Mwanamke anayefahamika kwa jina la Getrude Shio mkazi wa Marangu mkoani Kilimanjaro, amedai kuwa amepigwa kofi na mkuu wa wilaya ya Moshi ndugu James Kaji ikiwa ni baada ya kukataa kutoa cheti cha kifo cha mama yake mzazi akiwa ndani ya ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo.

Getrude akizungumza na GADI TV amesema yeye na ndugu zake waliitwa katika ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo na walipofika alishurutishwa atoe cheti hicho mbele ya dada yake ambaye anadaiwa alihusika na mauaji ya mama huyo kwa tamaa za kutaka eneo la ardhi kwa muda mrefu.

Aidha, Getrude amesema baada ya kukosa maelezo ya kutosha kuhusiana na cheti hicho aligoma kukitoa akiwa na hofu na dada yake hali iliyopelekea mkuu huyo kusimama na kumzaba kofi sehemu ya begani huku akimtolea lugha zisizo za staha.

Katika mahojiano ya mkuu wa wilaya hiyo ndugu Kaji na moja ya chombo cha habari akijibu tuhuma hizo amesema kutokana na kesi inayoendelea kuhusiana tuhuma za mauaji hayo ilihitajika cheti hicho na kuhusu kumpiga mwananchi huyo kofi ameshauri aende mahakamani.

Chanzo: GADI TV
 
Mwanamke anayefahamika kwa jina la Getrude Shio mkazi wa Marangu mkoani Kilimanjaro, amedai kuwa amepigwa kofi na mkuu wa wilaya ya Moshi ndugu James Kaji ikiwa ni baada ya kukataa kutoa cheti cha kifo cha mama yake mzazi akiwa ndani ya ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo.

Getrude akizungumza na GADI TV amesema yeye na ndugu zake waliitwa katika ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo na walipofika alishurutishwa atoe cheti hicho mbele ya dada yake ambaye anadaiwa alihusika na mauaji ya mama huyo kwa tamaa za kutaka eneo la ardhi kwa muda mrefu.

Aidha, Getrude amesema baada ya kukosa maelezo ya kutosha kuhusiana na cheti hicho aligoma kukitoa akiwa na hofu na dada yake hali iliyopelekea mkuu huyo kusimama na kumzaba kofi sehemu ya begani huku akimtolea lugha zisizo za staha.

Katika mahojiano ya mkuu wa wilaya hiyo ndugu Kaji na moja ya chombo cha habari akijibu tuhuma hizo amesema kutokana na kesi inayoendelea kuhusiana tuhuma za mauaji hayo ilihitajika cheti hicho na kuhusu kumpiga mwananchi huyo kofi ameshauri aende mahakamani.

Chanzo: GADI TV
Aisee
 
Mwanamke anayefahamika kwa jina la Getrude Shio mkazi wa Marangu mkoani Kilimanjaro, amedai kuwa amepigwa kofi na mkuu wa wilaya ya Moshi ndugu James Kaji ikiwa ni baada ya kukataa kutoa cheti cha kifo cha mama yake mzazi akiwa ndani ya ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo.

Getrude akizungumza na GADI TV amesema yeye na ndugu zake waliitwa katika ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo na walipofika alishurutishwa atoe cheti hicho mbele ya dada yake ambaye anadaiwa alihusika na mauaji ya mama huyo kwa tamaa za kutaka eneo la ardhi kwa muda mrefu.

Aidha, Getrude amesema baada ya kukosa maelezo ya kutosha kuhusiana na cheti hicho aligoma kukitoa akiwa na hofu na dada yake hali iliyopelekea mkuu huyo kusimama na kumzaba kofi sehemu ya begani huku akimtolea lugha zisizo za staha.

Katika mahojiano ya mkuu wa wilaya hiyo ndugu Kaji na moja ya chombo cha habari akijibu tuhuma hizo amesema kutokana na kesi inayoendelea kuhusiana tuhuma za mauaji hayo ilihitajika cheti hicho na kuhusu kumpiga mwananchi huyo kofi ameshauri aende mahakamani.

Chanzo: GADI TV
Mitano tena, 4R
 
Safi sana huyo mwanamke aliyegomea cheti cha kifo. Na mkuu wa wilaya cheti alikitaka akafanyie nini, kwani kesi ya mahakamani hukumu anatoa yeye?
 
Getrude akizungumza na GADI TV amesema yeye na ndugu zake waliitwa katika ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo na walipofika alishurutishwa atoe cheti hicho mbele ya dada yake ambaye anadaiwa alihusika na mauaji ya mama huyo kwa tamaa za kutaka eneo la ardhi kwa muda mrefu.
Juzi niliandika uzi kuelezea jinsi vijana wa Arusha wanavyofurahi wazazi wao wakifa ili warithi mali. Hata wiki haijapita ushahidi umeonekana live

Thread 'Kuna jambo zito linawakabili vijana wa kiume wa Arusha. Msaada wa haraka unatakiwa' Kuna jambo zito linawakabili vijana wa kiume wa Arusha. Msaada wa haraka unatakiwa
 
H
We una shida binafsi na vijana wa kiume wa Arusha. Huyo ni mwanamke tena wa Marangu anayetuhumiwa kumpiga DC wa Moshi, Arusha imeingiaje hapo. Acha chuki bwanamdogo
Hahaha....ndio huko huko
 
H
We una shida binafsi na vijana wa kiume wa Arusha. Huyo ni mwanamke tena wa Marangu anayetuhumiwa kumpiga DC wa Moshi, Arusha imeingiaje hapo. Acha chuki bwanamdogo
Kumbe DC ndiye aliyepigwa
 
Back
Top Bottom