Mwananchi: Kwenye daftari la mazishi ya vifo vya COVID19 Jina la babangu lilikuwa namba 256 (Amana Hospital-Ilala)

Kwani likizo ya mzee inaisha lini? Kama korona haipo arudi ofisini.
Kule hakwenda likizo kaikimbia corona Dodoma na Dsm kwani wasaidizi wake wanaishi mitaani anahofia kumletea corona toka majumbani mwao
 
Barakoa kazi yake ya kwanza ni
1. Kuzuia usiambulize wengine.

Kazinya pili ndio kukukinga


Kwa namna hiyo barakoa ilitakiwa kuwa ji lazima ili watu qasiambuiize wengine.

Wengi tunavaa kijikinga
Naibu Rais Daud Bashite ameruhusu vijiwe huko kwenu Dsm ili msongamane kwenye mabenchi muambukizane kwa wingi mfe kwa wingi wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu na pia waje kupata pesa nyingi WHO
 
Wewe kaa ukiamini watu hawafi akifa ndugu yako ndipo utaamini
 
Dah....kweli 'problems can not be solved by the same level of thinking that created them.'
 
Mkuu, Amana hosp wagonjwa wote waliondolewa. Pale ni kituo cha Corona tu.
 
Kwa hali hii hakika yajayo yanahuzunisha sio siri kama watu wanatoa shuhuda hivyo lazima tuchukue tahadhari maana hali sio rafiki.
 
Wewe kaa ukiamini watu hawafi akifa ndugu yako ndipo utaamini
Tatizo sio watu kufa Bali kufa wengi kwa kiasi ambacho watu wanakisema halafu hii hoja ya kusema sijui hadi ufiwe na ndugu ndio uamini watu wanakufa ni hoja isiyo na mashiko.
 
Sasa 256 ndio wanatushadadia namna hii? Mbona USA kuna vifo zaidi ya 80,000?

Magu voice
Utashangaa hata hivyo 256 bado serikali ya kiongozi wa malaika inaficha,Mkuu pia hiyo ni Ilala tu,ukiweka kinondona,temeke na ubungo Kisha ukaongeza mkoa, Strategies na mtukufu zipo vizuri sana
 
Mkuu achana na huyo mwendawazimu
 
Sasa serikali Kama haijawaua kitu gani kinasababisha huu usiri?Au hata mtukufu akiondoka kwa corona mtaficha ili afufuke
 
Jina la 256 kati ya waliokufa covid au ya total number of death kwenye hiyo hospital.. Maana siamini kwamba walifungua daftari jipya kwa ajili ya covid.. Na akienda makaburini akakuta jina la marehemu wake ni la 2115 atasemaje?
Mbona hiyo article ipo clear kasome tena
 
Watu wa maabara kila mgonjwa wa corona sasa wanamwandikia Negative kwa kuogopa kupelekewa mapapai mbuzi ni ni hatari sana maambukizi ni makubwa sana vijiweni ndipo kiwanda cha maambukizi makubwa kwa baraka za Naibu Rais Daud Bashite baada ya kukatazwa kuongelea corona kaamua kuwakomoa waliomkataza kwa kuhimiza wenyeviti wa Serikali za mitaa waachie mikusanyiko misongamano vijiweni vibarazani watu waambukizane kwa wingi
 
Huyo mwananchi si angdweka cheti cha kifo?
Cheti cha kifo kinaeleza sababu ya kifo cha mgonjwa
Tusilishane.matango pori
Mkuu Mungu akijaria baba au mama yako akifa usisahau kutuwekea cheti Cha kifo chake hapa jamvini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…