minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Kule hakwenda likizo kaikimbia corona Dodoma na Dsm kwani wasaidizi wake wanaishi mitaani anahofia kumletea corona toka majumbani mwaoKwani likizo ya mzee inaisha lini? Kama korona haipo arudi ofisini.