Mwananchi: Kwenye daftari la mazishi ya vifo vya COVID19 Jina la babangu lilikuwa namba 256 (Amana Hospital-Ilala)

Hivi kuna watu hawaamini kuwa corona imeua watu wengi sana? Na hiyo list ilikuwa ni April. Sasa hivi idadi imeenda na kwa nchi nzima imeshapita watu 1000 waliofariki.
hapana sasa hivi inacheza kwenye 23000,kumbavu kabisa wewe jamaa.
 
siwezi jua maana pakikucha na makaburi yanayeyuka.

mnadhani uzikaji wa watu ni kama kuzika paka aliyekufa????
Mazishi ya usiku na jamaa zao hawako utajuaje kama kila kaburi wanazika maiti nyingi???
 
Kwa hiyo Waarabu ni wadaku
Wazungu mabeberu
Chadema wahuni

Ngoja tuone huko mbeleni mtamshutumu nani
huko mbeleni,matokeo yatakuwa haya hapa.

lockdown duniani=NIL
death=450000+150 tz
 
Yani ukiangalia comments za Watanzania huko fb kwenye bbc swahili au kwenye media zingine hata hapa kwneye hii thread.
You will realize that many are stupid.
Yani wanavishambulia vyombo vya habari kuwa vinatumika.
Its nonsense.
Sasa hicho kitabu mazishi ya covid 19 aljazeer watunge kwa faida ya nani hasa.

Kiufupi Tanzania inaficha data and it will cost us all
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…