mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
hapana sasa hivi inacheza kwenye 23000,kumbavu kabisa wewe jamaa.Hivi kuna watu hawaamini kuwa corona imeua watu wengi sana? Na hiyo list ilikuwa ni April. Sasa hivi idadi imeenda na kwa nchi nzima imeshapita watu 1000 waliofariki.