Mwananchi: Kwenye daftari la mazishi ya vifo vya COVID19 Jina la babangu lilikuwa namba 256 (Amana Hospital-Ilala)

Mwananchi: Kwenye daftari la mazishi ya vifo vya COVID19 Jina la babangu lilikuwa namba 256 (Amana Hospital-Ilala)

Hivi kuna watu hawaamini kuwa corona imeua watu wengi sana? Na hiyo list ilikuwa ni April. Sasa hivi idadi imeenda na kwa nchi nzima imeshapita watu 1000 waliofariki.
hapana sasa hivi inacheza kwenye 23000,kumbavu kabisa wewe jamaa.
 
siwezi jua maana pakikucha na makaburi yanayeyuka.

mnadhani uzikaji wa watu ni kama kuzika paka aliyekufa????
Mazishi ya usiku na jamaa zao hawako utajuaje kama kila kaburi wanazika maiti nyingi???
 
Wanakufa marekani itakuwa sisi?
Asante Aljazeera... Vifo Ni zaidi ya 256 vya Corona hapa Tz...

Nasubiri Ummy akanushe hii habari
Screenshot_20200512-175610.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo Waarabu ni wadaku
Wazungu mabeberu
Chadema wahuni

Ngoja tuone huko mbeleni mtamshutumu nani
huko mbeleni,matokeo yatakuwa haya hapa.

lockdown duniani=NIL
death=450000+150 tz
 
Yani ukiangalia comments za Watanzania huko fb kwenye bbc swahili au kwenye media zingine hata hapa kwneye hii thread.
You will realize that many are stupid.
Yani wanavishambulia vyombo vya habari kuwa vinatumika.
Its nonsense.
Sasa hicho kitabu mazishi ya covid 19 aljazeer watunge kwa faida ya nani hasa.

Kiufupi Tanzania inaficha data and it will cost us all
 
Back
Top Bottom