KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Basi, kama ni hivi tunalo tatizo kubwa zaidi kuliko tulivyodhani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasema hivi, wamalize yakwao kwanzaJe wangekuwa wasiri wakutoa taarifa ungewezaje kujua hivyo vifo vya zaidi ya 80,000?
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi hawa watu 250 wilaya moja wamezikwa wapi jamani!!!!
Watanzania ni wajinga sana.Yani ukiangalia comments za Watanzania huko fb kwenye bbc swahili au kwenye media zingine hata hapa kwneye hii thread.
You will realize that many are stupid.
Yani wanavishambulia vyombo vya habari kuwa vinatumika.
Its nonsense.
Sasa hicho kitabu mazishi ya covid 19 aljazeer watunge kwa faida ya nani hasa.
Kiufupi Tanzania inaficha data and it will cost us all
Basi, kama ni hivi tunalo tatizo kubwa zaidi kuliko tulivyodhani.
Huyo ambae kaona jina la babake nae angekufa tu maana hana faida kwa inchi isio hitaji wambea na wafitini.
Je wangekuwa wasiri wakutoa taarifa ungewezaje kujua hivyo vifo vya zaidi ya 80,000?
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa kama serikali inapika,nyinyi pakueni data.Unafikiri na wao wanapika taarifa Kama serikali yenu?
Hivyo ni daftari la Ilala tuuAsante Aljazeera... Vifo Ni zaidi ya 256 vya Corona hapa Tz...
Nasubiri Ummy akanushe hii habari
hivi hawa watu 250 wilaya moja wamezikwa wapi jamani!!!!
Kwa hiyo Waarabu ni wadaku
Wazungu mabeberu
Chadema wahuni
Ngoja tuone huko mbeleni mtamshutumu nani
Sasa 256 ndio wanatushadadia namna hii? Mbona USA kuna vifo zaidi ya 80,000?
Magu voice
Read the History of Gobachev in Russia then you will know the answer.Hivi John Magufuli ni mtanzania?
ukizidisha mara 5 mkoa mzima,unapata watu 1000 mpaka sasa.
Wamezikwa wapi?Hivi kuna watu hawaamini kuwa corona imeua watu wengi sana? Na hiyo list ilikuwa ni April. Sasa hivi idadi imeenda na kwa nchi nzima imeshapita watu 1000 waliofariki.
Nini cha kushukuru mtu akifa kwa corona?jamani corona ni ugonjwa kama magonjwa mengine.
kama kafa na corona shukuru mungu kuna wengine wanakufa kwa ukimwi,ajali,kansa n.k
Sent using Jamii Forums mobile app