Pre GE2025 Mwananchi mmoja huko Hai amesema akifa kabla ya uchaguzi mkuu 2025, kaburi lake lipige kura kisha apewe mbunge wa Hai wa sasa

Pre GE2025 Mwananchi mmoja huko Hai amesema akifa kabla ya uchaguzi mkuu 2025, kaburi lake lipige kura kisha apewe mbunge wa Hai wa sasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Levina Rajabu mkazi wa kata ya Bondeni katika mji mdogo wa Bomang’ombe wilaya ya Hai mkoa wa Kilimanjaro amesema endapo atafariki dunia kabla ya uchaguzi Mkuu wa hapo mwezi Oktoba basi kaburi lake lipige kura na hiyo kura apewe Saashisha Mafuwe mbunge wa sasa wa jimbo la Hai .

Levina ametoa kauli hiyo wakati wa Mkutano wa hadhara uliondaliwa na Mh Saashisha katika kata ya Bondeni akieleza utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo hilo hususani katika miradi ya Afya.Elimu,Maji na Miundombinu .

Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

 
nilikuwa nikisikia kila mtu anakichaa chake ni swala la muda tu nilikua sielew hadi nilipokutana na hili.
 
Back
Top Bottom