mnyamiwono
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 708
- 71
Uhuruto must go this time. Shubamit!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aende wapi wakati mahakama yenyewe ilikubali kuwa kura hazikuongezwa wala kupunguzwa? Kura 1.5 million zaidi ya Raila. Afu wanasema eti kura hazijalishi shughuli ya uchaguzi yenyewe ndo haikufata kanuni zilizofaa kupeperusha matokeo! Ngoja hiyo siku ya kuzaliwa ya Uhuru Kenyatta, siku ya kurudia kura 26 Oktoba, itakuwa ni, Happy Birthday Mr. President! Asubuhi asubuhi tu.Uhuruto must go this time. Shubamit!
Sura gani? Hivi hujui sasa hivi maamuzi ya mahakama ndo yako mashakani? Uhuru Kenyatta alikuwa sahihi muda huo wote! Kuna hakimu wawili walokuwa wanawasiliana na NASA huku kesi ikiendelea ! Rais Kenyatta amekuwa mvumilivu sana.
Mimi mwenyewe mpiga kura chee ya tarehe ishirini na sita Oktoba ntakuwa kwenye mstari wa mbele kuhakikisha Raila tumempa zake tano tena. Kama kiongozi rasmi wa upinzani Kenya hadi 2022 aende retire! Inshallah.Kaangali sura yenyewe kama ulivyouliza. Mambo ya watu wachieni wao wamalizane. Kitendo ya wengine kupiga debe la kihuni kwa Kenyatta si sura zuri kwa siasa za Tanzania.
Wew mwenyewe hapo nishetani ya kuzimu alichaguliwa na Mungu ndo maana anatuogoza kumuita ivyo wew na family yako ndo mashetaniBado ni bora mara elfu ukilinganisha na anaejifanya mteule wa Mungu huku kwetu ilhali ni shetani mkuu, asiye tayari kukosolewa. Hajiamini hata chembe, kila kauli kwake ni tishio na bado kutwa kucha anakaa kusihi wale anaowakandamiza wamuombee Mungu. Maombi pekee atakayopata ni kuomba malipo ya udhalimu wake.
Uhuru ni mwana demokrasia wa kweli hata kama ana mapungufu yake ya kibinadamu.
kajifundishe kuandika vizuri kwanza ndo uje kubwabwaja hapa. Familia yangu imetokea wapi hapa. nyie ndo mnaoliwa viboga kwa kudandia treni kwa mbele, choko wewe.Wew mwenyewe hapo nishetani ya kuzimu alichaguliwa na Mungu ndo maana anatuogoza kumuita ivyo wew na family yako ndo mashetani