Mwanandoa au wapenzi tupeni uzoefu ulinusuru vipi ndoa au muhusiano yako

Shuku_

Senior Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
174
Reaction score
216
๐—›๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฒ๐—ป๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐˜‚...

Poleni na majukumu.

Bila kupoteza muda 1kwa1 kwenye mada kama kichwa kinavyosema, Ni changamoto gani uliipitia katika ndoa/muhusiano yako ambayo ilitaka kuvunja ndoa/mahusiano yako kisha ukainusuru kwa kuitatua na mambo yakawa saaafi kama mwanzo.

 
Shuku_ nini kimekupata mkuu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ