Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si utani mkuu!Acha msihara mkuu,toa maoni!
TobaaFanya hivi ndugu yangu, nenda kawe kwa Mwamposa kwa mafuta na maji tu atapona,kikubwa ni nauli yako tu naamini utanikumbuka
Ndo ukweli huo wala si utani. mimi nilikuwa silali.Hospital waliniambia baada ya muda ataacha tu ngoma ikaenda hadi miezi8 ndipo mama akaja kushuhudia mtanange na kbadilishwa jina saivi akilia ni ile kulia kawaida tu kama wengineAcha msihara mkuu,toa maoni!
Achana na upuuzi huoAmen
Sasa wewe unaanza kumtamkia Mtoto mabaya bado mdogo badala ya kutoa Ushauri huyu mzazi afanyeje😀😀😀😀😀Ni jamii ya Al shabab iyo hasira zake akiwa mkubwa ana weza leta maafa
Aiseee kama anazimia ile ya kiukweli kweli kabisaa na sio kujifanyisha basi pelekeni huyo Mtoto Hospitali. Inawezekana Mfumo wake wa kuhandle kilio kwenye Ubongo haupo sawa jamaniWana jukwaa, naomba ushauri.
Mwanangu wa mwaka 1 na nusu kila akilia anakauka mpaka anazimia, na hali hii imekuwa ikijirudia kila anapolia kabla ya kurudi katika hali ya kawaida. Kwa kifupi, inanitisha sana kwani sijui shida ni nini.
Je, hii ni hali ya kawaida kwa watoto au inahitaji matibabu ya haraka?
Niliwah sikia hii Kwa mama mmoja anasema alivokuwa mdogo alikuwa na hali siziso za kawaida had walipombadilisha jina hiv ni kweli?Huko kwetu wazee wanamkalisha wanamkanya na kumbadilisha jina!
Mtoto anapoa 😁
Asante kwa ushauri wakoMkuu namfahamu mtoto mwenye hilo tatizo. Hospitali aliambiwa ni kawaida. Mtoto anavyolia anakuwa anabana pumzi yake na kwa watoto wengine hupelekea kupoteza fahamu . Ila aliambiwa kama mtoto ana dalili nyingine kama kifafa ndio hatari ila kama ni hivo hivo ayakuwa sawa.
Nyongeza.
Watoto wanatofautiana na dalili zinaweza kuwa zinatofautiana hata kama zinaonekana zinafanana. Kaonane na mtaalamu.
Shukrani, nachukua hatua za haraka za kitabibuAiseee kama anazimia ile ya kiukweli kweli kabisaa na sio kujifanyisha basi pelekeni huyo Mtoto Hospitali. Inawezekana Mfumo wake wa kuhandle kilio kwenye Ubongo haupo sawa jamani
Ooh! ulisikia ina mahusiano gani kati ya jina na hali hiyo?Huko kwetu wazee wanamkalisha wanamkanya na kumbadilisha jina!
Mtoto anapoa 😁
Hii hata kwetu ufipani ipo sana tu, sehemu za huku kijijini Milala.Huko kwetu wazee wanamkalisha wanamkanya na kumbadilisha jina!
Mtoto anapoa 😁
mpeleke kwenye makanisa ya upakoWana jukwaa, naomba ushauri.
Mwanangu wa mwaka 1 na nusu kila akilia anakauka mpaka anazimia, na hali hii imekuwa ikijirudia kila anapolia kabla ya kurudi katika hali ya kawaida. Kwa kifupi, inanitisha sana kwani sijui shida ni nini.
Je, hii ni hali ya kawaida kwa watoto au inahitaji matibabu ya haraka?
Wana jukwaa, naomba ushauri.
Mwanangu wa mwaka 1 na nusu kila akilia anakauka mpaka anazimia, na hali hii imekuwa ikijirudia kila anapolia kabla ya kurudi katika hali ya kawaida. Kwa kifupi, inanitisha sana kwani sijui shida ni nini.
Je, hii ni hali ya kawaida kwa watoto au inahitaji matibabu ya haraka?