Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe ni Baba lofa!
Na amepata usingizi kabisa[emoji134]
Hii dunia ina watu wa ajabu Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe ni Baba lofa!
mwanao wa miezi Tisa aangukie kichogo!Wachangiaji wote wanajifanya wajuaaaajiiii. Mleta mada kwani wapi kasema hajampeleka hospital.
Kwa wale wenye watoto wataungana na mimi watoto hua wanaanguka sana yaani mpaka tunaogopa sema ndio unamuamuambia mtoto huko ndio kukua.
Sipingani na wanaotaka aende hospital coz huyu mpaka ametapika ni shida ila mnatakiwa mjue watoto hua wanaanguka sana yaaani na Mungu hua anawasasaidia sana.
Watoto wanaanguka sana.mwanao wa miezi Tisa aangukie kichogo!
na hizi nyumba za tiles/cement na urelax kabisa?
watu tuna mioyo tofauti
Watoto wanaanguka sana.
nimelea watoto watatu Ila sijawahi angusha au kuwa na mtoto ameangukia kichogo,Watoto wanaanguka sana.
[emoji1787]Moderator kwa kuonesha mnajali na kulinda afya na utu wa watoto naomba mpigeni ban ya wiki huyu jamaa ajitafakari jinsi ya kuishi na familia yake.
aisee ni hatari sana.
sijui tunakwama wapi?!
Acha upuuzi mpeleke mtoto hospitali. Au unataka uambiwe kwamba karogwa!!Samahani wataalam, kuna suala nashindwa kuelewa hapa, mwanangu ameangukia uchogo toka kitandani mpaka chini akaanza kutapika then akalala asubuhi kaanza kutapika tena, shida inaweza kuwa ni nini haswa? (Mtoto anamiezi 9)
First born wangu yuko fiti sana na alipokua mtoto kuangukia kisogo kulimuhusu sana.nimelea watoto watatu Ila sijawahi angusha au kuwa na mtoto ameangukia kichogo,
na hata ingetokea ningempeleka zahati,
kwa sababu hiyo style inafahamika wazi inasababisha kifafa.
Watoto huwa wanaanguka lakini hii ya Kuangukia kisogo na kuanza kutapika usiichukulie powaFirst born wangu yuko fiti sana na alipokua mtoto kuangukia kisogo kulimuhusu sana.
Kila siku ingekua hospital baasi.
Anyways nakubaliana na wewe hospital tena kwangu mimi naongezea kua especially inapokua kuna madhara ya ziada yanaongezeka kama huyu aliesema katapika au kama una wasiwasi.